Mbegu ya nyanya

Dj toni

Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
30
Reaction score
13
Wakuu hii mbegu ya nyanya Ansal F1 imekaaje na agrovet ipi ntaipata hapa dar na na Moro.
 
Hii mbegu iko vizuri kuanzia uzaaji wake mpaka ugumu wa tunda lake ,mbegu hii inaweza kulimwa masika au kiangazi japo masika inasumbuliwa sana na magonjwa pia zingatia kuilima eneo ambalo halina historia ya mnyauko..Kuhusu bei kwa moro na dar sijajua sababu mimi nachukua Arusha
 
Nashukuru mkuu..Huko imesimamaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…