Mbegu za kiume zina athari kwa mtoto tumboni?


huhuhuhuu
 
.....jf, HAKUNAGA!!!!!!
afu nawe na mambo yako ya baioroji...ukimkandamiza maiwaifu lazima magundi yanakaa kwenye kichwa cha mtoto ..we unadhani watu wenye vipara vinakuja kwa ajili gani..si ni mashahawa hayo ooohh
 
Sasa we unataka Mwali afundwe na Mwali mwenzie?
Si hao ndio wananambia mambo yanakuaje kuaje?
I put your name in my black book, ushanikwazaa!
 
Sasa we unataka Mwali afundwe na Mwali mwenzie?
Si hao ndio wananambia mambo yanakuaje kuaje?
I put your name in my black book, ushanikwazaa!

hahahaaa! And i put yours in a redbook, guess wat ... Love or danger!
 
hahahaaa! And i put yours in a redbook, guess wat ... Love or danger!
ah, sasa nimekupata. Nilikua najiuliza unanitakia nini
Kumbe ndio ilikua njia yako ya kutafuta attention???
Ungenisalimia tu, mi sina roho mbaya. acha uchokozi.
 
Hili halina ukweli wowote...mke na mume au wale wenye mahusiano ya kimapenzi wanashughulika mpaka dakika ya mwisho na hata madaktari wanapendekeza hili ili kusaidia njia iwe tayari kwa ajili ya kujifungua. MziziMkavu njoo huku ushushe utaalamu wako.
 
Last edited by a moderator:
Hili halina ukweli wowote...mke na mume au wale wenye mahusiano ya kimapenzi wanashughulika mpaka dakika ya mwisho na hata madaktari wanapendekeza hili ili kusaidia njia iwe tayari kwa ajili ya kujifungua. MziziMkavu njoo huku ushushe utaalamu wako.
Ni kweli mkuu uyasemayo Mbegu za kiume hazina athari kwa mtoto, na kitendocha kufanya mapenzi kinasaidia njia ya kujifunguwa kwa urahisi kwa mwanamke aliye na mimba hakuna wasiwasi kwa hilo mkuu anaweza kufanya nae mapenzi mke wake mwenye mimba mpaka wakati anapotaka kwenda kujifunguwa BAK
 
Reactions: BAK
u've to prove beyond no doubt,means we as scientists we need weight of evidence
 
ah, sasa nimekupata. Nilikua najiuliza unanitakia nini
Kumbe ndio ilikua njia yako ya kutafuta attention???
Ungenisalimia tu, mi sina roho mbaya. acha uchokozi.

duuuu! Sasa ngoja nikakuvizie kule MMU, Hapa hapafai tena kuongelea issue za ...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…