Mbegu za kiume zina athari kwa mtoto tumboni?

Mbegu za kiume zina athari kwa mtoto tumboni?

Kuna ndugu yetu mmoja wa kiume alikuja kutembea Ushongo
akamwacha mke wake shambani. Mke wake alikua ni mjamzito.
Then zilipofika siku za mwisho za uzito huo, akasema anarudi
Mama akamwambia: go wasy on her, si unajua siku za mwisho?

Yeye akajibu: hivi ndio naenda kuweka nywele na kucha sasa
Mi nikashangaa, ila nilikuja kuelewa baadae sana what he meant:
Mtoto haingii kwa siku moja. Mwanzo unaweka kichwa na kifua
Ukiendelea ku-do unaweka mikono na miguu, pua, vidole, sikio
and mwisho kabisa unamalizia kwa nywele kucha sasa (accessories)

Maybe not in that order, but that was the idea he has...nilishangaa
This, from an anthropological point of view has a strong symbolism:
It is the relation that your father has to your mother that makes you
If your father and your mother don't "get along" you wouldn't be.

huhuhuhuu
 
.....jf, HAKUNAGA!!!!!!
afu nawe na mambo yako ya baioroji...ukimkandamiza maiwaifu lazima magundi yanakaa kwenye kichwa cha mtoto ..we unadhani watu wenye vipara vinakuja kwa ajili gani..si ni mashahawa hayo ooohh
 
haya sasa! Yan kama hawa ndo mashahidi wako basi ni noummeeer! Manake KONGOSHO ni well matured, KAIZA as well, na huyo alietajwa "EROTICA" kuingia room kwako Ndo mwili wangu umepata ganzi kabisaaa! Manake ni mwalimu wa ROMANCE huyo! Nadhan lazima wamekutoa gizani hao!
Sasa we unataka Mwali afundwe na Mwali mwenzie?
Si hao ndio wananambia mambo yanakuaje kuaje?
I put your name in my black book, ushanikwazaa!
 
Sasa we unataka Mwali afundwe na Mwali mwenzie?
Si hao ndio wananambia mambo yanakuaje kuaje?
I put your name in my black book, ushanikwazaa!

hahahaaa! And i put yours in a redbook, guess wat ... Love or danger!
 
hahahaaa! And i put yours in a redbook, guess wat ... Love or danger!
ah, sasa nimekupata. Nilikua najiuliza unanitakia nini
Kumbe ndio ilikua njia yako ya kutafuta attention???
Ungenisalimia tu, mi sina roho mbaya. acha uchokozi.
 
Hili halina ukweli wowote...mke na mume au wale wenye mahusiano ya kimapenzi wanashughulika mpaka dakika ya mwisho na hata madaktari wanapendekeza hili ili kusaidia njia iwe tayari kwa ajili ya kujifungua. MziziMkavu njoo huku ushushe utaalamu wako.
 
Last edited by a moderator:
Hili halina ukweli wowote...mke na mume au wale wenye mahusiano ya kimapenzi wanashughulika mpaka dakika ya mwisho na hata madaktari wanapendekeza hili ili kusaidia njia iwe tayari kwa ajili ya kujifungua. MziziMkavu njoo huku ushushe utaalamu wako.
Ni kweli mkuu uyasemayo Mbegu za kiume hazina athari kwa mtoto, na kitendocha kufanya mapenzi kinasaidia njia ya kujifunguwa kwa urahisi kwa mwanamke aliye na mimba hakuna wasiwasi kwa hilo mkuu anaweza kufanya nae mapenzi mke wake mwenye mimba mpaka wakati anapotaka kwenda kujifunguwa BAK
 
  • Thanks
Reactions: BAK
u've to prove beyond no doubt,means we as scientists we need weight of evidence
 
ah, sasa nimekupata. Nilikua najiuliza unanitakia nini
Kumbe ndio ilikua njia yako ya kutafuta attention???
Ungenisalimia tu, mi sina roho mbaya. acha uchokozi.

duuuu! Sasa ngoja nikakuvizie kule MMU, Hapa hapafai tena kuongelea issue za ...!
 
Back
Top Bottom