Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
At the risk of being tasteless and yet hopefully funny, it CAN be dangerous, depending on whose sperm you are swallowing and who finds out about it.
OK, for the most part, it's pretty harmless. However, if your partner has some sort of infection, especially something like gonorrhea, you could absolutely establish a colony in your throat (yes!) or maybe eyes (depending on...well, you know....) initiated by swallowing his sperm. And, chlamydia is also an issue.
So, I've answered your question, but probably haven't calmed your mind. All of this being said, it's commonly done.
John Jones, M.D.
Source(s):
practicing gynecologist
hahahahaah umenifurahisha sana inategemea ikiwa mume hana maradhi ya zinaa sio mbaya mke kumeza hizo Mbegu za mume wake ila isiwe tena kila siku ndio huo mchezo wake. itakuwa sio nzui.............Mkuu Mzizi Mkavu niliona kwenye web site moja dada ambaye anapenda sana hii kitu aliuliza swali je kuna kitu ambacho mumewe anaweza kufanya ili ladha ya nanihii ibadilike maana anadai za mumewe ladha ilikuwa chungu. Hivyo Wataalamu wakamjibu kwamba amwambie mumewe ale mananasi kwa wingi au juice ya mananasi hivyo ladha itabadilika kutoka chungu na kuwa tamu.
Pia walimfahamisha kwamba ladha kuwa chungu inasababishwa na kula nyama sana. Baada ya kama wiki moja au siku 10 hivi yule dada akarudi kuripoti na kuwashukuru waliompa ushauri kwamba baada ya mumewe kula mananasi ile ladha imebadilika kutoka chungu na kuwa tamu.
hahahahaah umenifurahisha sana inategemea ikiwa mume hana maradhi ya zinaa sio mbaya mke kumeza hizo Mbegu za mume wake ila isiwe tena kila siku ndio huo mchezo wake. itakuwa sio nzui.............
Ni kweli lakini mpaka waende kupima wote wawili kwa makubaliano ndio waweza kufanya hayo mapenzi yao waliyoyakusudia.....Naam mkuu hapo kwenye rangi ni muhimu sana. Sidhani kama huyo dada atakuwa tayari kuhatarisha afya yake.
Mwalimu we acha tu watu hawafati tena amri halali wanafata mkumbo juzi tumesuluhisha wanandoa mke anadai eti mumewe anataka kumuingia kinyume kisa mpangaji wa chumba cha pili anapewa na mkewe.Nawauliza watu wa vitabu Wakristo, Waislam na Wayahudi, dini zenu zinasemaje kuhusu masuala haya?
Mwalimu we acha tu watu hawafati tena amri halali wanafata mkumbo juzi tumesuluhisha wanandoa mke anadai eti mumewe anataka kumuingia kinyume kisa mpangaji wa chumba cha pili anapewa na mkewe.
Hapa sipo mahali pa Dini na imani Mkuu ningeomba kama unataka kuuliza Swali la Dini ungekwenda kule kwenye Thread ya Dini na imani,kisha ukaliuliza hili Swali huko kwenye Thread ya Dini na imani.Nawauliza watu wa vitabu Wakristo, Waislam na Wayahudi, dini zenu zinasemaje kuhusu masuala haya?
Hapa sipo mahali pa Dini na imani Mkuu ningeomba kama unataka kuuliza Swali la Dini ungekwenda kule kwenye Thread ya Dini na imani,kisha ukaliuliza hili Swali huko kwenye Thread ya Dini na imani. Hapa ni J.F . doctor nakurekebisha hivi samahani ungeliuliza Swali lako hivi (kuna faida gani ya Mwanamke kumeza mbegu za kiume?) Hapo ningelikujibu au watu wangelikujibu. Tafadhali usilete Masuala ya dini hapa.
wewe umejaza vitabu vingi unavisom lakini inaonyesha bado hujavielewa hivyo vitabu vinasemaje? Unaleta mambo ya dini kwenye jukwaa la J.F. Doctor? umefuata nini hapa kwenye hili jukwaa? Usilete mambo ya Uchungaji na Ushekhe hapa au hii thread inakugusa nini moyoni mwako?Ombi lako halijakubaliwa
Wewe kama unaweza kujibu jibu, kama huwezi liwache anaeweza atajibu.
Dini zinasemaje kuhusu masuala haya?
wewe umejaza vitabu vingi unavisom lakini inaonyesha bado hujavielewa hivyo vitabu vinasemaje? Unaleta mambo ya dini kwenye jukwaa la J.F. Doctor? umefuata nini hapa kwenye hili jukwaa?Usilete mambo ya Uchungaji na Ushekhe hapa au hii thread inakugusa nini moyoni mwako???????
Sijavielewa eee hivyo vitabu ndio maana nikaja hapa kupata maelezo zaidi. Nadhani ni kawaida kuwa watu huchangia thread zikigusa moyo wao.
Wewe kama majibu unayo lete, kama huna si aibu vile vile.
Mnakaa mkisema dini ni mfumo wa maisha lakini mnaogopa kuuingiza kwenye kila sehemu ya maisha yenu, that's hypocrisy
Tulia basi waje wasio ona tabu kuharibu thread walete majibu.Hakuna Ma hypocrisy kama unavyofikiria wewe Mwalim wa vitabu lakini unachokisoma hukijuwi Ehhhhhh.
Nimekwambia tangu mwanzo hi thread inahusu mambo ya J.F. Doctor, haiusiani na mambo ya Dini na imani. Tukianzisha mambo ya dini na imani naona tutakuwa tumeshaiharibu hii Thread. Muanzishaji hakukusudia mambo yanyohusiana na dini na imani upo pamoja na mimi mlokole? Wewe nenda kwenye Jukwaa la Dini na imani kisha kaanzishe Thread kama hii utaniona mimi ni wa kwanza kukujibu. Kila kitu kipo hapa Dini,Siasa,Afya.
Technology mimi ndio Mzizi Mkavu hauchimbwi Dawa. Unakaribishwa bibie uslete matusi tu tafadhali.
haya natulia mpenzi endelea kuuliza swali lako mwalim wa vitabu nakuacha basi ............Tulia basi waje wasio ona tabu kuharibu thread walete majibu.
simple tu, vinazungumzia na siyo kuzungumzia tu bali vinakazia kabisa 'upendo'. .......religion is one of the greatest opiate there exist.Nawauliza watu wa vitabu Wakristo, Waislam na Wayahudi, dini zenu zinasemaje kuhusu masuala haya?