Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Mifuko mitatu wastan wa kilo 6 hvNje ya madam: naomba kujua ekari Moja inachukua kiasi gani cha mbegu ya mahindi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifuko mitatu wastan wa kilo 6 hvNje ya madam: naomba kujua ekari Moja inachukua kiasi gani cha mbegu ya mahindi?
hilo eneo sina uzoefu nalo mkuuMkuu mimi naomba unishauri, Namtumbo ni mbegu gani za mahindi zinafaa kupandwa ukanda ule????
Na mbolea ipi inafaa, msaada tafadhali
Fafanua hizo namba ni za nani na anajusika na nini na yuko wapi ?Falsafa ya uongozi wa mama Samia ni hizo R 4 mojawapo ni mabadiliko.
Tena kama ni mkulima piga hiyo namba kuna mengi ya manufaa kwa wakulima, kuanzia ruzuku za pembejeo mpaka mikopo ya vifaa vya kisasa vya kilimo.
Hizo namba ni wizara ya kilimo huduma kwa wateja.Fafanua hizo namba ni za nani na anajusika na nini na yuko wapi ?
Mimi nahitaji Mbegu za mahindi aina ya TEMBO au ZAMSEED.
Na niko Ujiji Kigoma.
Hizo namba zitanisaidia nini, Fafanua wewe Bibi wa Mkuranga.
Tuletee mrejesho.Asante.
Nitawatafuta kesho.
Kumuelewa Bashe na mama unamaanisha nini?
Mbegu za Asili hazina tija kwa Kilimo Biashara.Tumieni mbegu za asili