Nguku Wakabange
Member
- Oct 27, 2021
- 61
- 113
Wanajamii habari zenu wote.
Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa tunamwelewa kwasababu huwa anatoa uhalisia wa mambo ambapo hata msomaji anarithika kabisa.
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kunipa mwanga ni mbegu gani aina za DK (DK varieties) hutoa mavuno mazuri na pia hustahimili hali ya hewa ya joto kali ukiongezea pia na mabadiliko ya hali ya hewa ya miaka hii.
Binafsi nimeshawahi kujaribu kutumia DK8031 na DK8033 mwaka jana ilikuwa nzuri japo mwaka ulikuwa siyo poa. mwaka huu natamani kujaribu aina nyinginezo za DK lakini nategemea wadau mnipe mwongozo mzuri. eneo la shamba ni Kilindi -Kibirashi mkoa wa Tanga
Asanteni 🙂
Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa tunamwelewa kwasababu huwa anatoa uhalisia wa mambo ambapo hata msomaji anarithika kabisa.
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kunipa mwanga ni mbegu gani aina za DK (DK varieties) hutoa mavuno mazuri na pia hustahimili hali ya hewa ya joto kali ukiongezea pia na mabadiliko ya hali ya hewa ya miaka hii.
Binafsi nimeshawahi kujaribu kutumia DK8031 na DK8033 mwaka jana ilikuwa nzuri japo mwaka ulikuwa siyo poa. mwaka huu natamani kujaribu aina nyinginezo za DK lakini nategemea wadau mnipe mwongozo mzuri. eneo la shamba ni Kilindi -Kibirashi mkoa wa Tanga
Asanteni 🙂