Mkuu kwani sie tumezuiwa kuanzisha ghala na kutunza?Mbegu zote za Asili duniani za mimea yote ya asili wazungu wanazo wanaficha hapa.Unajua kwa nini?
Lengo wauze mbegu xa GMO halafu tukiona zina madhara hatutaki mbegu za asili zitakuwa zilishafutika ndipo wao watachukua hizo mbegu za asili kuanza kulima na kutuuzia kwa bei hatari
Hapa ndipo ghala lenye mbegu zote za asili za mimiea yote duniani zipo hata mimea ya kijijini kwenu iliyopotea zipo hapo.Ni moja ya jengo lenye ulinzi mkali mno wa kijeshi duniani
View: https://youtu.be/3s9H2KP4opE?si=tbO5Xc3TuNfxH9iR
Wewe ndio umeenda kwenye vitalu hivyo vya miti mwenyewe.Sasa kwa nini kampeni za panda miti mnatuletea miti ya wazungu na wahindi kwa nini hamtupi miti ya asili ya eneo husika
Mbona hamna vitalu vya miti ya asili maeneo husika watu wapande hiyo kurudisha uoto wa asili wa eneo husika?
Mavitalu yenu ya miche ya miti ya kizungu na kihindi ya nini?
SUA ishalogwa kitambo. unaambiwa ma professor wa pale wengi wao wamefungua bar hawana hata bwawa moja la samakiNimeipata hii mahali nanukuu
"Yaani Leo sijawahi panda hasira kama leo.Kila ukienda vitalu vya miti unapata miti ya kizungu (miti koloni).
Nilikuwa kwenye daladala kijana mmoja akasema hii miti imported inafukuza hadi viumbe vya asili wakiwemo wadudu,ndege na wanyama.
Akauliza ulishawahi ona ndege yoyote wa Tanzania anajenga kiota kwenye mti wa Muarobaini,muashoki au mkaratusi au mti ulaya? Nikasema hapana.Akasema wao pia hawataki ukoloni wameisusa.
Wamehamia nchi zingine za kiafrika ambazo hazijakaribisha miti koloni kwenye nchi zao.
Nimefyeka miashoki yote nyumbani kwangu kwa Hasira ujinga mtupu.Akasema tukitaka ndege wa zamani warudi ,wanyama wa asili wa maeneo husika warudi lazima uoto wa asili urudi kuanzia majani ,miti nk . Ndipo wanyama,wadudu wa asili na hali ya hewa ya asili itarudi.
Rais kama hawawezi kutupa vitalu vya miti ya asili na majani ya asili ya maeneo husika naomba Rais fukuza wafanyakazi wote wa wizara ya kilimo na Mali ya asili , Mazingira na vyuo vya kilimo ikiwemo chuo kikuu Cha kilimo Cha SUA fukuza wote.
Tuna miti ambayo hakuna ndege anaiheshimu hata kujenga kiota.Miti gani hii? Hata kunguru maruhuni mkubwa hataki kujenga kiota.Looo...
Rais anzisha kampeni ya kufyeka miti yote ya kikoloni tu replace na yetu ya asili."
Mwisho wa kunukuu
Say no to GMO
Hapo hata wewe unaruhusiwa kuhifadhi Mbegu za mazao kwa ajili ya matumizi ya baadae ( Hata miaka 100 ijayo).Mbegu zote za Asili duniani za mimea yote ya asili wazungu wanazo wanaficha hapa.Unajua kwa nini?
Lengo wauze mbegu xa GMO halafu tukiona zina madhara hatutaki mbegu za asili zitakuwa zilishafutika ndipo wao watachukua hizo mbegu za asili kuanza kulima na kutuuzia kwa bei hatari
Hapa ndipo ghala lenye mbegu zote za asili za mimiea yote duniani zipo hata mimea ya kijijini kwenu iliyopotea zipo hapo.Ni moja ya jengo lenye ulinzi mkali mno wa kijeshi duniani
View: https://youtu.be/3s9H2KP4opE?si=tbO5Xc3TuNfxH9iR
Tayari ipo-na ipo Tanzania.Kuna haja africa kuja na seed bank..big brother niga na south waanze
Wajiongeze na wao wahamasishe upandaji miti ya asili wajenge hoja hata serikalini wawe na vitalu vya miti ya asili nchi nzima na kampeni zao ziwe za kupanda miti ya asili eneo husika siyo hiyo miti koloni ya kibwegeWewe ndio umeenda kwenye vitalu hivyo vya miti mwenyewe.
Ukienda kwenye ofisi za TFS wanauza mbegu na miche ya miti ya asili karibia yote.
Order seeds and seedlings
All citizens and stakeholders can now shop for seeds and seedlings from the TFS stations and our social media pages listed below.
Instagram: treeseedstz
Facebook: TFS-Tree seed Production
TFS- Tree production station- Morogoro
Kihonda, 3 kms from Msamvu bus station
Dodoma Road,
PO Box 373 Morogoro,Tanzania
Phone: 0715 534 516, 0620 149 619
TFS- Tree production station- Iringa.
Kibwabwa, 3.7 Kms from Ipogoro Bus
Road to Mbeya
P.O Box 1121 Iringa
Phone: 0629282716/0715534 516/0620149619
Email: seed@tfs.go.tz
TFS- Tree production station - Lushoto
Road to Magamba near Tafori Research station
P.O Box 258, Lushoto
Phone: 0687328 799/0715534 516/0620149619
Email: seed@tfs.go.tz
TFS- Tree production station –Shinyanga
Old Shinyanga Road
P.O Box 167 Shinyanga
Phone: 0755945578/0715534516/0620149 169
Email: seed@tfs.go.tz
Hata miche ya matunda,unaweza ukaotesha mwenyewe kutoka kwenye mbegu na zikaota.
Wengi wa watanzania tunapenda shortcut!
Huwezi ilisha dunia ya leo kwa mbegu zile za asili,mnatombana sana mmezaana kama viwavi,mbegu modified ya mpunga toka serikalini inatoa gunia 40,ya asili gunia 20-25,2012 tulikua 50m,2022 65mMbegu zote za Asili duniani za mimea yote ya asili wazungu wanazo wanaficha hapa.Unajua kwa nini?
Lengo wauze mbegu xa GMO halafu tukiona zina madhara hatutaki mbegu za asili zitakuwa zilishafutika ndipo wao watachukua hizo mbegu za asili kuanza kulima na kutuuzia kwa bei hatari
Hapa ndipo ghala lenye mbegu zote za asili za mimiea yote duniani zipo hata mimea ya kijijini kwenu iliyopotea zipo hapo.Ni moja ya jengo lenye ulinzi mkali mno wa kijeshi duniani
View: https://youtu.be/3s9H2KP4opE?si=tbO5Xc3TuNfxH9iR
Wanaweza ushirikina na mapenzi pekee
Njaa kwa Tanzania ni dili za wakubwa, hukuona tatizo la sukari liligeukwa kuwa fursa Waziri na mafisadi wenzake wakatajirika kupita kiasiKule Bukoba nyumbani kulikuwa na migomba inaitwa FIA
Hii migomba ilikuwa imported
Mwaka 2005 Babu yangu alipanda migomba hii
Niseme hii migomba ilifuta tatizo la njaa Kwa 90%
Hivyo yawezekana hawa wanaopinga hizi mbegu wakawa sahihi Ila pia watazame haya mambo kwa uchanya
Hii migomba MTU yoyote ambaye yupo Bukoba ukimuuliza atakuambia jinsi ilivyo na kuhusu madhara hamna madhara yoyote
Unapinga nini sasa, unafahamu mbolea zenyewe za kizungu zikishatumika tu mara 1 hakuna zao lolote la asili litalopandwa kwenye hiyo ardhi likaota upya/tena?Unajua hata kuna aina ngapi ya ‘orchid flowers’, ambazo wazungu wanataka kutunza mbegu zake?
Hakuna mtu anashida na vyakula kwa nchi ambayo raia wake wana utapia mlo.
Njaa kwa Tanzania ni dili za wakubwa, hukuona tatizo la sukari liligeukwa kuwa fursa Waziri na mafisadi wenzake wakatajirika kupita kiasi
Haya majangili ya CCM huwa yanatengeneza tatizo kwao linakuwa fursa ya kupiga pesa za ummaSure kabisa - njaa iliyopo Tanzania na umasikini ni man made.
Well said wells said well said congratulations umenitoa tongotongoNimeipata hii mahali nanukuu
"Yaani Leo sijawahi panda hasira kama leo.Kila ukienda vitalu vya miti unapata miti ya kizungu (miti koloni).
Nilikuwa kwenye daladala kijana mmoja akasema hii miti imported inafukuza hadi viumbe vya asili wakiwemo wadudu,ndege na wanyama.
Akauliza ulishawahi ona ndege yoyote wa Tanzania anajenga kiota kwenye mti wa Muarobaini,muashoki au mkaratusi au mti ulaya? Nikasema hapana.Akasema wao pia hawataki ukoloni wameisusa.
Wamehamia nchi zingine za kiafrika ambazo hazijakaribisha miti koloni kwenye nchi zao.
Nimefyeka miashoki yote nyumbani kwangu kwa Hasira ujinga mtupu.Akasema tukitaka ndege wa zamani warudi ,wanyama wa asili wa maeneo husika warudi lazima uoto wa asili urudi kuanzia majani ,miti nk . Ndipo wanyama,wadudu wa asili na hali ya hewa ya asili itarudi.
Rais kama hawawezi kutupa vitalu vya miti ya asili na majani ya asili ya maeneo husika naomba Rais fukuza wafanyakazi wote wa wizara ya kilimo na Mali ya asili , Mazingira na vyuo vya kilimo ikiwemo chuo kikuu Cha kilimo Cha SUA fukuza wote.
Tuna miti ambayo hakuna ndege anaiheshimu hata kujenga kiota.Miti gani hii? Hata kunguru maruhuni mkubwa hataki kujenga kiota.Looo...
Rais anzisha kampeni ya kufyeka miti yote ya kikoloni tu replace na yetu ya asili."
Mwisho wa kunukuu
Say no to GMO
Ndugu kuna aina luluki za ‘orchids’ duniani let alone grains.Unapinga nini sasa, unafahamu mbolea zenyewe za kizungu zikishatumika tu mara 1 hakuna zao lolote la asili litalopandwa kwenye hiyo ardhi likaota na upya/tena?
Mchujo wa mules unatakiwa katika vitengo vyote..!Majeshi yetu yaangalie maeneo mengi mojawapo ni hilo la usalama wa chakula yaani food security ni sehemu ya kazi ya jeshi pia na nchi kuwa huru kwa chakula miaka 200 ijayo Wao majeshi yao yanalinda mbegu za asili na sisi tulinde tusiruhusu GMO at any cost
Watajijua wenyewe looooMchujo wa mules unatakiwa katika vitengo vyote..!
Sahihi Dunia imebadilika na vitengo vinatakiwa kubadilika kwenda na kasi ya dunia otherwise vitabaki obsolete na irrelevant kwenye dunia enda kasi.Mchujo wa mules unatakiwa katika vitengo vyote..!