Mbele kwa mbele, shughuli ya wazalendo wa Ukraine inaelekea Luhansk - zege hailali

Mbele kwa mbele, shughuli ya wazalendo wa Ukraine inaelekea Luhansk - zege hailali

Ha ha ha!! MImi na-copy paste kama ilivyo, sema lazima nitangulize tamko langu ili Warusi wa humu JF waliokua wamejawa kejeli kwenye nyuzi zao watie akili, wamenyooka siku hizi naona wamebadilisha lugha wanasema wale ni ndugu hawapaswi kupigana, hii ni baada ya kibao kugeuzwa.

Hata hivyo nitapunguza makali......
Mkuu, endeleeni hivyo tu,Wala usipunguze spana,wengi tulipata kabisa msongo wa mawazo pale mabom yalipokuwa yakinyesha kama mvua pale Kyiv wakati urusi akijaribu kuiparamia Ukraine

Ni jambo la kijipongeza sana kuona ukraine anafikia hatua hii

Tena naomba uzidishe moto ikibidi,
 
Piga, garagaza chochote kilicho mbele hadi ardhi ikombolewe, vilianzia Crimea vinaishia Crimea.....
Vijana wa Ukraine wataingia kwenye vitabu vya historia kama mashujaa waliojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda taifa lao, bendera yao, wazee wao, watoto wao na jamii yao yote.

Vijana wa Kiafrika mna la kujifunza.

======

MOSCOW, Sept 14 (Reuters) - The frontline in eastern Ukraine is approaching the borders of territory claimed by the separatist Luhansk People's Republic (LPR), a senior Russian-backed LPR military commander told the TASS news agency on Wednesday.

Russian forces have seized control of the entire LPR - one of two regions that make up Ukraine's eastern Donbas region - since first entering Ukraine on Feb. 24 with a stated aim of wresting the entire Donbas from Kyiv's control.

But a lightning Ukrainian counteroffensive over the last week has driven Russian forces back and is bringing the new frontline closer to the LPR's self-proclaimed borders, commander Andrey Marochko said on Wednesday.

MK254 Please tembelea hapa embassy ya Ukraine upate ujira wako ukiwa kama askari wa akiba mtandaoni tokea Africa Mashariki…
 
Back
Top Bottom