safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Hakuna kubwa mbele za Mungu linalomshinda.
Mungu akiwachoka watu basi hakuna sababu itakayozuwia,akiamua lake hakuna litakaloshindikana.
Raisi wetu Magufuli wengi hatukutarajia kama atakuwa raisi,lakini angalia leo kawa raisi ingawa kulikuwa na vita kubwa huko juu wakati wa kumtafuta mgombea.
Tundu Lissu alipangwa auawe,na kulikuwa na kila sababu ya yeye kufa, zikamiminwa risasi zaidi ya 16 lakini Mungu hakuamua afe jamaa leo anadunda kwa uwezo wa Mungu yule yule.
Hakukuwa na kizuizi cha jamaa kuondoka isipikuwa rehema ya Mungu pekee. Huyu ndio Mungu mkuu.
Halikadhalika Mungu akiamua lake hapa kuna watu watatangazwa na tume hiyo hiyo ambayo sio huru na watakuwa maraisi.
Mungu akiwachoka watu basi hakuna sababu itakayozuwia,akiamua lake hakuna litakaloshindikana.
Raisi wetu Magufuli wengi hatukutarajia kama atakuwa raisi,lakini angalia leo kawa raisi ingawa kulikuwa na vita kubwa huko juu wakati wa kumtafuta mgombea.
Tundu Lissu alipangwa auawe,na kulikuwa na kila sababu ya yeye kufa, zikamiminwa risasi zaidi ya 16 lakini Mungu hakuamua afe jamaa leo anadunda kwa uwezo wa Mungu yule yule.
Hakukuwa na kizuizi cha jamaa kuondoka isipikuwa rehema ya Mungu pekee. Huyu ndio Mungu mkuu.
Halikadhalika Mungu akiamua lake hapa kuna watu watatangazwa na tume hiyo hiyo ambayo sio huru na watakuwa maraisi.