Mbeligiji Adel Amrouche (58) ateuliwa kuwa kocha Mpya Taifa Stars

Mbeligiji Adel Amrouche (58) ateuliwa kuwa kocha Mpya Taifa Stars

Mnaombeza mualgeria huyu, hebu pitieni kwa kocha wa yanga. Waarabu wako vizuri sana... ni My opinion
 
Hivi kwa nini tusingejaribu utaratibu tofauti kama huu. Tutafute wachezaji watakaokuwa full time wa timu ya taifa. Wanapewa mikataba ya muda maalumu kama ya vilabu na wana train muda wote ndani ya timu ya taifa.

Kama sheria za CAF na FIFA zinalazimu wawe na vilabu, basi wanakuwa signed na klabu za hapa nchini ila kwa makubaliano na club hizo kuwa TFF watawalipia mishahara ila kwa kipindi kirefu watakuwa kambini kwenye timu ya taifa.
 
Hivi kwa nini tusingejaribu utaratibu tofauti kama huu. Tutafute wachezaji watakaokuwa full time wa timu ya taifa. Wanapewa mikataba ya muda maalumu kama ya vilabu na wana train muda wote ndani ya timu ya taifa.

Kama sheria za CAF na FIFA zinalazimu wawe na vilabu, basi wanakuwa signed na klabu za hapa nchini ila kwa makubaliano na club hizo kuwa TFF watawalipia mishahara ila kwa kipindi kirefu watakuwa kambini kwenye timu ya taifa.
Inawezekana ni wazo zuri ila game time Sasa watakuwa wanapata vipi!?na lazima wakionekana wanafanya vizuri watatakiwa na vilabu au wenyewe watataka kwenda kwenye vilabu
Nadhani tutumie njia waliofanya German kwa kizazi Cha kina Muler
 
Inawezekana ni wazo zuri ila game time Sasa watakuwa wanapata vipi!?na lazima wakionekana wanafanya vizuri watatakiwa na vilabu au wenyewe watataka kwenda kwenye vilabu
Nadhani tutumie njia waliofanya German kwa kizazi Cha kina Muler
Mkuu,German walifanyaje?
 
Inawezekana ni wazo zuri ila game time Sasa watakuwa wanapata vipi!?na lazima wakionekana wanafanya vizuri watatakiwa na vilabu au wenyewe watataka kwenda kwenye vilabu
Nadhani tutumie njia waliofanya German kwa kizazi Cha kina Muler
Ni program itakayohitaji budget ya kutosha. Game time ni suala la kuandaa mechi za kirafiki za kutosha hata na vilabu vikubwa vya ndani na nje ya nchi. Ni rahisi zaidi kupata friendly games na vilabu kuliko timu za taifa. Ni wazi tofauti ila kutoka kwenye huu mkwamo inahitajika mawazo tofauti na tulivyozoea.

Kimsingi tunaweza kuanza na kuchukua baadhi wanaotoka under-23 ambao tayari wanakuwa hawapo kwenye vilabu, tukaongezea wengine.
 
TFF kutuambia wameingia mkataba wa miaka mingapi na kiwango cha Mshahara ndio wameshindwa. Kocha hana mafanikio, atafukuzwa muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom