Mbeya: Ajifungia kwenye nyumba yeye na mkewe kisha kuchoma nyumba moto, kisa wivu wa mapenzi

Mtu mmoja mkazi wa mtaa wa Nyigamba Kata ya Itezi mkoani MBEYA aliyefahamika kwa jina la Hamis Pius amejiua kwa kujichoma moto kwa kile kinachoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

mashariki Mkoa wa Mbeya amejiondoa uhai wake kwa kujichoma Mto aliouwasha kwa makusudi ,akiwa amefanya maandalizi kwa kununua mafuta ya petrol na kumuita mkewe chumbani Ili wafe wote sababu ikielezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo ameeleza kuwa marehemu alifanya tukio Hilo kwa kudhamiria ili kujiondoa uhai yeye na familia yake. Marehemu anadaiwa kuwasha moto huo kwa makusudi baada ya kumwaga petroli akiwa ndani pamoja na familia yake, lakini taarifa ya jeshi la Polisi inaeleza kuwa mtoto wa marehemu mwenye miaka 20 ndiye aliyemuokoa Mama yake kwenye moto huo lakini walitoka wakiwa na majeraha na kuwahishwa hospitali kwa matibabu.

 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa jamii kuachana na vitendo vya kuoa.
 
Tumeingia kwenye age ambayo mwanamke anataka kushindana na mwanaume kwenye kila nyanja
Ndomana majumbani,kwenye ndoa ni vurugu mechi

Ova
 
CHANZO kwanini haisemwi ni KUKOSEKANA UAMINIFU KTK NDOA/ USALITI KWA WANANDOA!!!na iwekwe wazi WITO: wanandoa waache UZINZI na uasherati na UKAHABA/PROSTITUTION kupunguza haya mauaji yanayotakana na USALITI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…