Mbeya: Akamatwa kwa kujifanya Mkuu wa Mkoa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Polisi Mbeya wanamshikilia Warren Mwinuka (20) wa Makondeko Mbeya kwa tuhuma za kujifanya Mkuu wa Mkoa Mbeya (Juma Homera ) na kutumia Instagram yenye jina la Mkuu huyo kutaka Watu wampe kero zao na kuwatapeli pesa, upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani.
 
Huyo Msafwa atakua alitumia namba yake ya simu kifala sana.
 
Mtu mmja amenaswa na Polisi kwa kujifanya ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya..

Mkuu huyo wa Mkoa Fake alinaswa akitoa maagizo na kufanya utapeli.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220615-190137.png
    143.9 KB · Views: 3
Sio kila jambo la kijinga halitoi funzo!!

Ni mhimu kujiuliza ni kwa nini iwe hivi kwa kijana yule!!

Serikali Tambueni, vijana wanahaha mitaani wakiwa na vyeti vyao saafi kabisa!

Wamekaa mitaani kwa matumaini na mwisho wa siku uzalendo unaanza kupotea baada ya kutafuta kazi miezi hata miaka!!

Kijana kafanya makosa na akemewe, ila lisitupe kufikri kama watu wenye uelewa,

Watoeni kazini wote waliostaafu na kurudishwa kazini tena utadhani wasomi ni hao hao, kina kinana out nawengine wengi!

Wapeni mafasi vijana wachape kazi
 
Mbona gazetini wameandika jamaa hajamtapeli mtu ila akawa anasikiliza kero zao na kuwashauri,aliyemchoma ni yule aliyeona anacheleweshewa jibu mtandaoni,akaamua kutafuta no ya simu ya RC na kupiga,hapo ndio dili likatibuka.Mleta uzi alete taarifa kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…