Mbeya: Aliyewahi kuwa Katekista azikwa akiwa hai akituhumiwa kwa uchawi

Mbeya: Aliyewahi kuwa Katekista azikwa akiwa hai akituhumiwa kwa uchawi

Tumugoje, tumuleshe?
Wana roho mbaya sana hao watu pana mwaka mmoja nilikua nasambaza Mbolea huko Ileje na Fusso moja hivi ikaharibika maeneo ya Mlowo hapo usiku walikuja jamaa wanasema tuondoke wakija wezi watatuua aisee sema nikikua na idea ya kugusagusa gari nikaangalia fuse box pana fuse ilikua imekata muda huo huo nikaunga waya ikakubali kuwasha Gari ikawaka aisee dereva alivyoamsha tulienda kulala Mpemba pale na ndio kipindi hicho walichokua wanachuna watu ngozi...
 
Wana roho mbaya sana hao watu pana mwaka mmoja nilikua nasambaza Mbolea huko Ileje na Fusso moja hivi ikaharibika maeneo ya Mlowo hapo usiku walikuja jamaa wanasema tuondoke wakija wezi watatuua aisee sema nikikua na idea ya kugusagusa gari nikaangalia fuse box pana fuse ilikua imekata muda huo huo nikaunga waya ikakubali kuwasha Gari ikawaka aisee dereva alivyoamsha tulienda kulala Mpemba pale na ndio kipindi hicho walichokua wanachuna watu ngozi...
Ngozi yako saa hizi ingekuwa dukani kwa mtu inamletea pesa
 
Inakuwaje taarifa ya Mwaka 2013, zaidi ya miaka 10 iliyopita unaileta leo?….HUU NI UPOTOSHAJI WA KIWANGO CHA JUU…Hili tukio lilitokea mwaka 2013 wakati Mkwajuni ilikuwa wilaya ya Chunya na Wilaya ya Chunya haijagawanywa…Kwa sasa Mkwajuni ipo Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe…

Pia kipindi tukio linatokea Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya alikuwa Diwani Athumani
Pamoja na kwamba ni taarifa ya 2013 lakini inayo mashiko, ndiyo maana wadau wamechangia comments nyingi tu
 
Jombi alisumbua sana
Alisumbua sana. ila alikamatwa kama kuku baada ya kumpapatikia demu bomba aliyetegeshwa toka kitengo..!! Alikamatiwa pale Savoy bar maeneo ya stereo, mbele kidogo ya Mafyati kama unaelekea mjini kupiti Sangu Sec..!!
 
Safi sanaa, hiyo ndo komesha wachawi, wanasumbua sana raia. Wtu wa Momba hongereni sanaaa
 
Masikini mzee wa watu amekufa kifo kigumu 😭😭
 
Back
Top Bottom