Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wana roho mbaya sana hao watu pana mwaka mmoja nilikua nasambaza Mbolea huko Ileje na Fusso moja hivi ikaharibika maeneo ya Mlowo hapo usiku walikuja jamaa wanasema tuondoke wakija wezi watatuua aisee sema nikikua na idea ya kugusagusa gari nikaangalia fuse box pana fuse ilikua imekata muda huo huo nikaunga waya ikakubali kuwasha Gari ikawaka aisee dereva alivyoamsha tulienda kulala Mpemba pale na ndio kipindi hicho walichokua wanachuna watu ngozi...Tumugoje, tumuleshe?
Ngozi yako saa hizi ingekuwa dukani kwa mtu inamletea pesaWana roho mbaya sana hao watu pana mwaka mmoja nilikua nasambaza Mbolea huko Ileje na Fusso moja hivi ikaharibika maeneo ya Mlowo hapo usiku walikuja jamaa wanasema tuondoke wakija wezi watatuua aisee sema nikikua na idea ya kugusagusa gari nikaangalia fuse box pana fuse ilikua imekata muda huo huo nikaunga waya ikakubali kuwasha Gari ikawaka aisee dereva alivyoamsha tulienda kulala Mpemba pale na ndio kipindi hicho walichokua wanachuna watu ngozi...
Pamoja na kwamba ni taarifa ya 2013 lakini inayo mashiko, ndiyo maana wadau wamechangia comments nyingi tuInakuwaje taarifa ya Mwaka 2013, zaidi ya miaka 10 iliyopita unaileta leo?….HUU NI UPOTOSHAJI WA KIWANGO CHA JUU…Hili tukio lilitokea mwaka 2013 wakati Mkwajuni ilikuwa wilaya ya Chunya na Wilaya ya Chunya haijagawanywa…Kwa sasa Mkwajuni ipo Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe…
Pia kipindi tukio linatokea Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya alikuwa Diwani Athumani
Tanga Nyumba shoga Nyumba Mganga wa jadiMbeya nyumba mchungaji,nyumba uchawi ,nyumba wauaji hvyo yaani...
Kwahiyo wewe mbulula huamini uchawi?Ni ujinga na upumbavu kuamini mambo ya kishirikina. Hii tabia ya kuamini uchawi ni tabia ya kijinga sana ikomeshwe inavuruga amani katika jamii
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]Mzee anastahili hiyo adhabu nimeipenda
Wachawi ni washenzi sana aiseeMzee anastahili hiyo adhabu nimeipenda
Imezidi viwango vya uchawi aiseeWachawi wanakera ila kumzika mtu hai hii imezidi viwango vya ukatili
Jombi alisumbua sanaTulitoka kwa akina JOMBI pale Mafyati, tukaingia kwenye mambo ya kuchunana Ngozi huko Mbozi na sasa tunazikana wazima..!!! Imbombo ngafu
Alisumbua sana. ila alikamatwa kama kuku baada ya kumpapatikia demu bomba aliyetegeshwa toka kitengo..!! Alikamatiwa pale Savoy bar maeneo ya stereo, mbele kidogo ya Mafyati kama unaelekea mjini kupiti Sangu Sec..!!Jombi alisumbua sana
mbona sikuelewi we mgagagigikoko?