Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Nov 30, 2022 #161 Wote walikuwa vichaa π mdai hakuwa na subira, mdaiwa ukichaa ukazidi. Mwisho wa yote utasikia kosa la marehemu. Money will speak loudly
Wote walikuwa vichaa π mdai hakuwa na subira, mdaiwa ukichaa ukazidi. Mwisho wa yote utasikia kosa la marehemu. Money will speak loudly
Ali Nassor Px JF-Expert Member Joined May 6, 2022 Posts 2,384 Reaction score 3,926 Nov 30, 2022 #162 Lavit said: Sema pesa inaleta jeuri sana, sasa utasema huyo jamaa alikosa 7500 kweli? Click to expand... πππππ 7500 kwa mbeya ni pesa ya kula week nzima nyingi sana hiyo kwa mbeya mbeya
Lavit said: Sema pesa inaleta jeuri sana, sasa utasema huyo jamaa alikosa 7500 kweli? Click to expand... πππππ 7500 kwa mbeya ni pesa ya kula week nzima nyingi sana hiyo kwa mbeya mbeya
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Nov 30, 2022 #163 Mamndenyi said: Wote walikuwa vichaa [emoji41] mdai hakuwa na subira, mdaiwa ukichaa ukazidi. Mwisho wa yote utasikia kosa la marehemu. Money will speak loudly Click to expand... ukichaa wa mdaiji umeutafsirije shangazi!!! maana mpaka deni limefika 7500 kulikuwa na uzungu mwingi sana katikati hapo.jamaa huko juu kasimulia vyema tukio,kumbe mzee wa watu kapigwa baada ya risasi kumkosa mtu mwingine.si kwamba alikuwa anamfokea jamaa yetu mwenye Hilux na bastola.
Mamndenyi said: Wote walikuwa vichaa [emoji41] mdai hakuwa na subira, mdaiwa ukichaa ukazidi. Mwisho wa yote utasikia kosa la marehemu. Money will speak loudly Click to expand... ukichaa wa mdaiji umeutafsirije shangazi!!! maana mpaka deni limefika 7500 kulikuwa na uzungu mwingi sana katikati hapo.jamaa huko juu kasimulia vyema tukio,kumbe mzee wa watu kapigwa baada ya risasi kumkosa mtu mwingine.si kwamba alikuwa anamfokea jamaa yetu mwenye Hilux na bastola.
Ali Nassor Px JF-Expert Member Joined May 6, 2022 Posts 2,384 Reaction score 3,926 Nov 30, 2022 #164 Ally Nassor Px said: πππππ 7500 kwa mbeya ni pesa ya kula week nzima nyingi sana hiyo kwa mbeya mbeya Click to expand... The Sunk Cost Fallacy 2 una matatizo
Ally Nassor Px said: πππππ 7500 kwa mbeya ni pesa ya kula week nzima nyingi sana hiyo kwa mbeya mbeya Click to expand... The Sunk Cost Fallacy 2 una matatizo
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Nov 30, 2022 #165 Ushamba mbaya Sana.....Bibi yangu used to say ushamba mzigo wa senyenge