Mbeya: Baada ya Polisi kumshikilia Msanii wa Nyimbo, Sifa Bujune Wenzake watoa wimbo wa Kulaani kitendo hicho

Haa has huyu bi kiriboto kazi anayo
 
Mudaaa utaongeaa ,zumaradi alikamatwa akaachiwa now yupo mtaan anaendeleze alipoishia ...huyu naye atatoka na ataendeleza alipoishia
Aisee umemkosea sana Sifa, kumfananisha na kichaa Zumaridi
 
Si huwa wanasema ni mlokole? Walokole nao huwa wanaiba kura?
 
🤣🤣🤣uzuri mbeya tumejaliwa sauti za mziki wa injil
Sijamsikia bahati Wala matha wakiongea lolote
Washavimbiwa,wanabeua saivi
Wapi tapel mwamposa na Kaka yake lusekelo
 
Huwezi kumtukana Rais wa nchi halafu unyamaziwe.....ujinga huo[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…