Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Delusion...Unanikanyaga halafu unataka nikuheshimu, we wawapi?
Matatizo ya akili...
Umekanyagwa na nani ?!!
Umekanyagwa wapi ?!!! [emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delusion...Unanikanyaga halafu unataka nikuheshimu, we wawapi?
Jamaa wanamsimamo usiyoyumbishwa hizi sifa wanazo wachache sana.Ndio hivyo hivi kwanini wasiaziche vyama vyao wajiunge pamoja na wengine kutoka CCM, Chadema, wasio na chama tuwape nchi. Waanzishe chama chao. Mwabukusi, Dr Slaa, watakuwa viongozi mzuri kuliko Samia na genge lake. Kwanini tusijaribu wengine.
Nahisi ndani ya miaka miwili tutapata maendeleo makubwa sana badala na visingizio, ngojera, taarabu.
Sina haja ya kukufafanulia coz ni kazi bure, we ni mgonjwaDelusion...
Matatizo ya akili...
Umekanyagwa na nani ?!!
Umekanyagwa wapi ?!!! [emoji15][emoji15]
Acha waimbe zile nyimboVijana wa Mbarikiwa hao wanataka ushauri wa akili kabla hali haijawa hatari
Mke wa Mbarikiwa huyo
Ni mbeya tu Arusha hamna kituSalaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.
Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.
Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.
Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888
Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
View attachment 2755031
Thread 'Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya' Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya
Thread 'Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!' Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!
Wala hujakosea. Kama sio Mbeya ni mkoani MaraTrust me.
Ukombozi wa Taifa hili utaanzia Mbeya
Hapo unataka kupanda ndege bandarini!!Mama Samia tatua mgogoro wa mbarikiwa na RPC wa Mbeya Hali si shwali.
Tulia msaidie ndugu yako
Naunga mkono hoja 👍👏Wewe kiboko yako ni Mpwayungu Village ameeleza ukweli mwingi kuhusu uzoroto wa akili zenu.
Bi Tozo nchi imemshindaMama Samia kayakanyaga
Alidhani kutenda ukatili kwa wanyonge kunawanyamazisha wengine.
Chuki inazidi kukua na matendo yake na serikali yake kunawaibua mashujaa wasiotarajiwa
Hehehee... na wengine wako maofisini wakiimba mapambio na kusifu wakila "tozo" kama vile sadaka... loh!Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili