Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Leo katika pitapita zangu kwenye mitaa mbalimbali ya Jiji la Mbeya nimejionea namna ambavyo Jiji hili lilivyo chafu.
Viroba vya takataka vimerundikwa kila mahali katika mitaa ya Jiji hili.
Wenye mamlaka ya kukusanya taka nao ni kama hawaoni namna ambavyo Jiji limetapakaa uchafu.
Pichani ni mfano tu wa hali ilivyo, hapa ni Mitaa ya Kabwe ambapo ni katikati ya Jiji. Hii sio sawa hata kidogo.
Pia soma: DOKEZO - Mbeya: Wafanyakazi wa Dampo la Nsalaga wageuka wafanyabiashara wa bidhaa zinazotupwa hapo
Tunaelekea kipindi cha masika chondechonde ndugu zangu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya oneni hili la sivyo tutapata magonjwa ya mlipuko.
Viroba vya takataka vimerundikwa kila mahali katika mitaa ya Jiji hili.
Wenye mamlaka ya kukusanya taka nao ni kama hawaoni namna ambavyo Jiji limetapakaa uchafu.
Pichani ni mfano tu wa hali ilivyo, hapa ni Mitaa ya Kabwe ambapo ni katikati ya Jiji. Hii sio sawa hata kidogo.
Pia soma: DOKEZO - Mbeya: Wafanyakazi wa Dampo la Nsalaga wageuka wafanyabiashara wa bidhaa zinazotupwa hapo
Tunaelekea kipindi cha masika chondechonde ndugu zangu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya oneni hili la sivyo tutapata magonjwa ya mlipuko.