Satoshi Nakamoto
Senior Member
- May 28, 2017
- 110
- 464
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari
Source: TBC1 Habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waandishi wa TBC na Channel Ten wanajidharilisha sana kuto kubalance story. Maudhui ya mdomoni yanakinzana na mavazi yenye ujumbe unaohamasisha.View attachment 1875543
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari
Aibu sana,ndio maana Rais amewateua DC wengi toka chadema wakati hawakutumika kuinua CCM.Mimi ni CCM lakini niwe mkweli Chadema haina vijana wajinga kama hao.
Hao wanadadavuwa!
Hivi wahariri wa hivi vyombo wanajitambua kweli?Mhu! Huku kunaitwa 'kujipinga bila kujua kama unajipinga' (kutoa kauli 2 zinazopingana kwa wakati mmoja).
Aibu sana,ndio maana Rais amewateua DC wengi toka chadema wakati hawakutumika kuinua CCM.
Viongozi Taifa UVCCM wanagombana Diallo/Gwajima huku mdudu wanaishi naye
Hakuna mwana Cdm anayeweza kupinga hoja ya KATIBA MPYA ya wananchi. Hayupo labda uvccmView attachment 1875543
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari
Unavaa t shirt ya kuhamasisha katiba mpya alafu unapinga katiba mpya,???View attachment 1875543
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari
Wawaachie CHADEMA waendelee na moto wao tuone Nani ataaminika kati ya hawa Mburula na CHADEMA halisi.Mimi ni CCM lakini niwe mkweli Chadema haina vijana wajinga kama hao.
Hao wanadadavuwa!
Ni shida!Hivi wahariri wa hivi vyombo wanajitambua kweli?
Mimi kama mdau wa sheria mtu akipinga Katiba Mpya huwa sifahamu anachopinga ni nini! What's it exactly?View attachment 1875543
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari
AZAM walijaribu huu upuuzi wiki iliyopita, walipopigwa mawe sijawaona tena.Hivi wahariri wa hivi vyombo wanajitambua kweli?