Hahaha wanapinga alafu wamevaa tshet za katiba aiseee hao ni wana ccm wenye maslai na katiba ya ss maana wanajua ikipatikana katiba mpya watakula nn, watahudumia vp familia zao wataendeshaje maisha yao hapa duniani lazima wasifu na kuabudu lkn wajue katiba mpya itapatikana tuView attachment 1875543
Wanachama wa CHADEMA Mkoani Mbeya wamejitokeza kupinga agenda ya Katiba Mpya huku wakiwa wamevalia Tshirts za kuhamasisha Katiba Mpya!
Source: TBC1 Habari