GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
ilipoanza mbeya city ilianza kwa kishindo na kupata mashabiki wengi sana. iliiingia moja moja kuwa mshindi wa 3 katika ligi. huku ikiwa ni moja ya team zilizokuwa zikiogopwa sana. ilikuwa ina ushindani na wapenzi wengi waliipenda na kuifuatilia kwa ukaribu sana.
likaingia suala la simba na yanga. yanga wakawa wana watu wao wengi ndani ya mbeya city inasemekana kulianza kufanyika figisu figisu kuwa kila inapocheza na yanga iwe inapoteza kuisaidia yanga. hii hali imekuwepo kwa mud amfupi kutokana na kuwa na viongozi wengi ambao wana mapenzi na yanga ukianzia na aliyekuwa kocha mwambusi na viongozi kadhaa.
mechi ya juzi imekuwa na lawama sana hasa kwa baadhi ya wachezaji kuonekana kuwa wamecheza chini ya kiwango. inasemekana kulikuwa na jambo ambalo lilikuwa sababu ya wachezaji kadhaa kucheza chini ya kiwango ili kuisaidia yanga. tabia hii imekuwepo sana katika hizi team kadhaa kubwa ambazo zimekwa zikifanya mchezo kama huu wa kununua wachezaji au kuharibu mpira.
watanzania,wapenda michezo mkoani mbeya msiache simba na yanga kuharibu team zenu ambazo zinakuwa na mahabiki wengi ambao ni mchanganyiko wa simba na yanga. tunafaham kabis asilimia 95 ya washabiki wa mpira nchini ni simba na yanga. baada ya hapo ndo huwa na mapenzi kwa team zao za mikoani. sasa mnapoanza tena kuziambatanisha na simba na yanga mnawakosea mashabiki wa mpira.
likaingia suala la simba na yanga. yanga wakawa wana watu wao wengi ndani ya mbeya city inasemekana kulianza kufanyika figisu figisu kuwa kila inapocheza na yanga iwe inapoteza kuisaidia yanga. hii hali imekuwepo kwa mud amfupi kutokana na kuwa na viongozi wengi ambao wana mapenzi na yanga ukianzia na aliyekuwa kocha mwambusi na viongozi kadhaa.
mechi ya juzi imekuwa na lawama sana hasa kwa baadhi ya wachezaji kuonekana kuwa wamecheza chini ya kiwango. inasemekana kulikuwa na jambo ambalo lilikuwa sababu ya wachezaji kadhaa kucheza chini ya kiwango ili kuisaidia yanga. tabia hii imekuwepo sana katika hizi team kadhaa kubwa ambazo zimekwa zikifanya mchezo kama huu wa kununua wachezaji au kuharibu mpira.
watanzania,wapenda michezo mkoani mbeya msiache simba na yanga kuharibu team zenu ambazo zinakuwa na mahabiki wengi ambao ni mchanganyiko wa simba na yanga. tunafaham kabis asilimia 95 ya washabiki wa mpira nchini ni simba na yanga. baada ya hapo ndo huwa na mapenzi kwa team zao za mikoani. sasa mnapoanza tena kuziambatanisha na simba na yanga mnawakosea mashabiki wa mpira.