Mbeya city uzembe huu utawagharimu

Mbeya city uzembe huu utawagharimu

Hata sheria yake bado haijatungwa.
Jambo hili ni geni katika historia ya Soka.
Mbea City watasaidia kuunda sheria mpya na hukumu kuhusu jambo hili.
Jambo hili lilipofanyika hakuna mtu aliyeligundua mapema, hadi mwishoni mwa mchezo, sio Kibendera, Refa, Kamisaa, Makocha, Wachezaji wa Yanga, Washabiki, hata wachezaji wa Mbea City hawakuelewa kwani tensheni kubwa ilikuwa kwenye mchezo, mi nadhani hata mchezaji aliyeingia hakufahamu au kukumbuka kama alikuwa amebadilishwa.
Sure, kilichotokea ni kwamba, mchezaji Eliud Ambokile aliumia, kutokana na ugumu wa mchezo wakaamua kufanya sub haraka na kuweka mwingine, Ambokile aliendelea kugangwa bila kujua kuwa nafasi yake ameingia mwingine, alipopona alimuomba refa kuingia akamruhusu, akaingia dimbani.
 
Back
Top Bottom