Mbeya City vs Simba live

Kuna Prison mkuu kama hii game imekuwa ngumu hivi kwa hao wajela jela sijui[emoji124][emoji124]
🀣 🀣 🀣 watakua wanatucheleweshea tu ubingwa. Najua Tz Prisons wako vzr, lkn kumbuka kwamba vijana wa Msimbazi wana uchu sana na mwali. Na mwaka huu linabebwa mazima
 
Simba tukishajihakikishia kuchukua ubingwa tunaanza mikakati mipya kuhakikisha namungo,azam na kmc wanakuwa nne bora.
wengine watajijua.
Muandae penshen ligi ikiisha wale wazee pale watakuja kufa uwanjani
 
Halafu FA tunawatoa waone wataendaje kimataifa
Simba tukishajihakikishia kuchukua ubingwa tunaanza mikakati mipya kuhakikisha namungo,azam na kmc wanakuwa nne bora.
wengine watajijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…