Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Kama sio tff mikia mngekua nafas ya 8Nye vijana ndo kina Yondani,halafu leo hiyo mechi yenu ya usiku mnapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio tff mikia mngekua nafas ya 8Nye vijana ndo kina Yondani,halafu leo hiyo mechi yenu ya usiku mnapigwa
Hapana, mmempunguzia sana. Ana 67. Acheni dharauMkuu eti Ni kweli kagere ana 56 ?
Mnyeru fc mnahonga sanaUtopolo kwa kulalamika, utafikiri mtoto yatima....
Ina mana umri wa kustaafu soka ni 80 au?Hapana, mmempunguzia sana. Ana 67. Acheni dharau
Itakua furaha ya tffMechi ijayo tunatangaza ubingwa
Kacheza Umisseta na Mwigulu NchembaMkuu eti Ni kweli kagere ana 56 ?
NdioIna mana umri wa kustaafu soka ni 80 au?
Basi bado kidogo atastaafuNdio
GSM yupo na nyinyi si muhonge kama rahisi hivyo........😀Mnyeru fc mnahonga sana
Duh Betina tena[emoji124][emoji124]Kama Betina atakwenda basi ujue Mbeya City watafungwa
Ona huyu nae kateseka kupita kimya kimya[emoji28]Ngoja nisubiri mechi ya maana jioni,nisipoteze muda kwa huu utumbo wa club ya wazee
Vyura mnateseka sana, kulikoni?[emoji23]Tfff washatoa maelekezo huko mbea,mikia anaondoka na point 3
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu eti Ni kweli kagere ana 56 ?
Gsm sio viongoz wa tffGSM yupo na nyinyi si muhonge kama rahisi hivyo........😀
Kuna Prison mkuu kama hii game imekuwa ngumu hivi kwa hao wajela jela sijui[emoji124][emoji124]Mechi ijayo tunatangaza ubingwa
Kama sio tff mikia wepesi mno,hata najiuliza kwann tuliwafunga kamoja tu?Vyura mnateseka sana, kulikoni?[emoji23]