Mbeya City yaweka hadharani jezi zake mpya

Mbeya City yaweka hadharani jezi zake mpya

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Klabu ya Mbeya City imeweka hadharani jezi zake mpya zitakazo tumika kwaajili ya msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara huku zikionekana kuwa na chata ya mdhamini wake mbele ya uzi huo.

20214001_442570346113391_2238504123945189376_n.jpg


Mwenyekiti Mussa Mapunda na Fadhili Nsemwa (Afisa Masoko SportsMaster) wakizindua rasmi jezi na vifaa vya msimu huu.

19052269_1411020028990028_6153982076904275968_n.jpg


Bakari Masoud na Owen Chaima wakiwa wamevalia jezi ya ugenini na jezi ya mazoezi.

18879501_843383219153855_5521938851448225792_n.jpg


Mwanamitindo Salma akipita mbele ya waalikwa na Jaketi mpya ya klabu ya Mbeya City Fc. Jaketi hii inapatikana pia madukani.

20067244_1447450788624157_48282373074190336_n.jpg
20067460_1563639813656053_5476414757911134208_n.jpg


Usungilo Hall/Mbeya. Uzinduzi wa Jezi.

mbeya-city-jezi-mpya3.jpg


20184241_118880878652851_2116189867741282304_n.jpg


Mwanamitindo Mourine aliyekua Miss Nyanda za Juu Kusini na wenzake wakipita na Jezi ya mashabiki ya kike iliyozinduliwa jana.

20180987_1958770144361850_1820248449040252928_n.jpg


Mrisho Ngassa na John Kabanda wakipita mbele ya umma kuonesha jezi mpya ya nyumbani ya msimu huu.

Chanzo: Bongo 5
 
Mipango mizuri. kazi kwa watekelezaji na wachochea ushindi
 
Hivi simba na yanga wana jezi za kike. Na
taka kumnunulia wifi yenu.
 
Very nice uz ukopoah sana

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom