Mikoa hii ina maisha cheap sana.Huu mkoa gharama za maisha zipo chini sana. Mtu akishindwa kuishi huku basi ni bora afariki.
Nimefika hapa na kushangaa guest house nzuri kabisa na ipo sehemu nzuri, haina mambo ya hovyo lakini bei elfu kumi.
Wali samaki nimekula sehemu kwa shilingi 2500.
Sasa viperege unaita samaki?? Leta bei ya wali sato mkubwaKuna samaki wanaitwa perege na wengine hata majina yao siyajui ila wanakuwa wamekaangwa na kutengenezewa rosti.
Mwalimu Salama🤣🤣🤣🤣Hii sentence hii
Mbona gharama sana tatizo hujanipigia simu Kuna lodge apa kwenye hio afukumi unapata na wali samakiHuu mkoa gharama za maisha zipo chini sana. Mtu akishindwa kuishi huku basi ni bora afariki.
Nimefika hapa na kushangaa guest house nzuri kabisa na ipo sehemu nzuri, haina mambo ya hovyo lakini bei elfu kumi.
Wali samaki nimekula sehemu kwa shilingi 2500.
Niko njema mkuuMwalimu Salama
Kauli Hiyo Muombe Afanye Masahihisho