Mbeya (Green City) vs Tanga (Jiji la Mahaba). Wapi Kuna Michongo ya Kukutoa Kimaisha Fasta?

Mbeya (Green City) vs Tanga (Jiji la Mahaba). Wapi Kuna Michongo ya Kukutoa Kimaisha Fasta?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Je ni Mkoa upi unafaa Kwa kuishi nanutafutaji kati ya haya Majiji 2?

Mbeya-Ikiwakikisha Nyanda za Juu Kusini.
20240903_174552.jpg
20240903_174559.jpg

FB_IMG_1725267913711.jpg
FB_IMG_1725267950768.jpg
FB_IMG_1725267998729.jpg
FB_IMG_1725267988113.jpg
FB_IMG_1725267943910.jpg



Tanga-Ikiwakilisha Kaskazini Mashariki ya Tanzania.cc Accumen Mo

View: https://youtu.be/DeN0Cqpy60w?si=Q1vfWhImYnCpRzn6
20240903_175657.jpg
20240903_180025.jpg

Screenshot_20240904-103429.jpg



Tanga Ina magorofa mengi kushinda Mbeya ila wanachuana Kwa idadi ya magorofa marefu
Screenshot_20241226-132116.jpg
 
Zamani Mbeya waliambiwa ni marufuku kujenga ghorofa, hii kampeni iliwahujumu sana wakukajha.
Zilikuwa fix za kijinga na kiukweli zimeilemaza Mbeya sana.

Yaani kwenye Wingi wa magorofa,Mbeya imeachwa mbali sana na Tanga,Moshi, Morogoro ,Pwani ,Dodoma na Majiji mengine yote 👇👇
Screenshot_20240417-153204.jpg


Kidogo Kwa Sasa naona wameanza kujikongoja 👇👇
Screenshot_20240417-153204.jpg
IMG_20240726_183819_066.jpg
IMG_20240726_183619_222.jpg
IMG_20240727_072458_650.jpg
IMG_20240727_074946_426.jpg
IMG_20240727_071706_539.jpg
IMG_20240727_073439_648.jpg
 
Mbeya ni sehemu nzuri sana kwani maisha sio ghali ukilinganisha na Tanga ambapo Mbeya unaweza kwa maisha ya kawaida panakuwezesha kutunza fedha kidogo kidogo na ukatusua
Ila Tanga Kuna mzunguko mkubwa wa hela kushinda Mbeya
 
Nipo Tanga huu sio mji wa kutafuta ukitaka uenjoy maisha hapa uwe muajiriwa kwasababu vitu bei rahisi ila kweny shuhuli nyngne ni kugumu hata uvuvi nao mgumu kuna mtu aliandika hiyo post ndio uhalisia wa tanga


1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani.
2-Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro!
3-Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree.
4- Ndio jiji lenye baiskeli za kukodi kama bodaboda na kiti chenye sponji.
5- Disco wanapiga taarabu.
6- Hakuna kelele wala vurugu ni kimyaaa hadi raha.
7 - Kijana akishakuwa na uhakika wa kula na kulala anaoa hata wake watatu kwa mpigo.
8- Binti wa Kitanga mwambie apande pikipiki utalipa. Akifika mnunulie chips yai na soda. Kwisha!
9 - Ndio jiji lenye soda zake. 'Healtho' au 'Anjari'. Huko Bakhresa na Mo hawasikiki.
10 - Ukiishi na watu vizuri kuoa na kuolewa hupati shida wao ndo wanamaliza kazi.
11-Raskazone, Donge,Tanga Beach ndio ushuani kwa mafogo.
12- Maji ya kunywa siyo ya kununua dukani, ya bomba tu yanakata kiu, safi hadi raha.
13- Kwa mabinti uwe na pumzi, ukijiroga bro utatolewa jasho ujute.
14 - Kuna traffic light mbili tu pale Toyota na Mombo Hospitali.
15- Machimbo yetu yaleee ni nenda Sabasaba na Kwa Chichi. Hii ni code kwa wakware.
16 - Daladala ipo radhi kumsubiri mtu hata ikibidi kupiga rivasi kumfuata alipo.
17- Ni jiji lililopangika vizuri uswahilini, mjini mpaka ushuani.
18 - Kule madem wanaenda bar au club na madera na ushungi kichwani.
19 - Tanga kila binti anajua mapenzi na wanaheshimu wanaume.
20 - Mabinti wa Tanga wanapenda ndoa na wanajua kulea waume.
 
Nipo Tanga huu sio mji wa kutafuta ukitaka uenjoy maisha hapa uwe muajiriwa kwasababu vitu bei rahisi ila kweny shuhuli nyngne ni kugumu hata uvuvi nao mgumu kuna mtu aliandika hiyo post ndio uhalisia wa tanga


1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani.
2-Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro!
3-Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree.
4- Ndio jiji lenye baiskeli za kukodi kama bodaboda na kiti chenye sponji.
5- Disco wanapiga taarabu.
6- Hakuna kelele wala vurugu ni kimyaaa hadi raha.
7 - Kijana akishakuwa na uhakika wa kula na kulala anaoa hata wake watatu kwa mpigo.
8- Binti wa Kitanga mwambie apande pikipiki utalipa. Akifika mnunulie chips yai na soda. Kwisha!
9 - Ndio jiji lenye soda zake. 'Healtho' au 'Anjari'. Huko Bakhresa na Mo hawasikiki.
10 - Ukiishi na watu vizuri kuoa na kuolewa hupati shida wao ndo wanamaliza kazi.
11-Raskazone, Donge,Tanga Beach ndio ushuani kwa mafogo.
12- Maji ya kunywa siyo ya kununua dukani, ya bomba tu yanakata kiu, safi hadi raha.
13- Kwa mabinti uwe na pumzi, ukijiroga bro utatolewa jasho ujute.
14 - Kuna traffic light mbili tu pale Toyota na Mombo Hospitali.
15- Machimbo yetu yaleee ni nenda Sabasaba na Kwa Chichi. Hii ni code kwa wakware.
16 - Daladala ipo radhi kumsubiri mtu hata ikibidi kupiga rivasi kumfuata alipo.
17- Ni jiji lililopangika vizuri uswahilini, mjini mpaka ushuani.
18 - Kule madem wanaenda bar au club na madera na ushungi kichwani.
19 - Tanga kila binti anajua mapenzi na wanaheshimu wanaume.
20 - Mabinti wa Tanga wanapenda ndoa na wanajua kulea waume.
Kwa hivyo vigezo basi Mimi Tanga ndio inanifaa
 
Back
Top Bottom