Mbeya (Green City) vs Tanga (Jiji la Mahaba). Wapi Kuna Michongo ya Kukutoa Kimaisha Fasta?

Mbeya (Green City) vs Tanga (Jiji la Mahaba). Wapi Kuna Michongo ya Kukutoa Kimaisha Fasta?

Mbeya kuna seheme nyingi za kumake pesa kama utakua mjanjaa

ukienda kule chunya kweny migodiii ukiiishii na watu vizuri kule michongo ipo mingi kikubwa uwe na hela

Kama unapenda kilimoo nenda kule tukuyu all the way mpaka kyela huko ndani ndani mashamba ya mipunga ya kutosha na ndizii na parachichii (utamadunii)

Mbeya mjinii pia kuna frusa za kutosha unaweza kufungua biashara yyte na ikatoa cha muhimi mtaji ….. ukimiliki bajaji mbeya hulalii njaa

Bado hujaenda huko mbalizilii watu wanalimaa mahindii sanaa na biashara za kutoshaa
 
Mbeya kuna seheme nyingi za kumake pesa kama utakua mjanjaa

ukienda kule chunya kweny migodiii ukiiishii na watu vizuri kule michongo ipo mingi kikubwa uwe na hela

Kama unapenda kilimoo nenda kule tukuyu all the way mpaka kyela huko ndani ndani mashamba ya mipunga ya kutosha na ndizii na parachichii (utamadunii)

Mbeya mjinii pia kuna frusa za kutosha unaweza kufungua biashara yyte na ikatoa cha muhimi mtaji ….. ukimiliki bajaji mbeya hulalii njaa

Bado hujaenda huko mbalizilii watu wanalimaa mahindii sanaa na biashara za kutoshaa
Lakini ukaribu wa Tanga Kwa Mombasa, Zanzibar na Dar ni fursa zaidi ya kupiga pesa kushinda hata Mbeya.

Naona Ukiwa na eneo la Kilimo Tanga unaweza kutoka haraka Kwa sababu uko jirani na masoko makubwa tofauti na Mbeya ambayo Iko very far huko interior
 
Lakini ukaribu wa Tanga Kwa Mombasa, Zanzibar na Dar ni fursa zaidi ya kupiga pesa kushinda hata Mbeya.

Naona Ukiwa na eneo la Kilimo Tanga unaweza kutoka haraka Kwa sababu uko jirani na masoko makubwa tofauti na Mbeya ambayo Iko very far huko interior


Mkuu mbeya imepakanaa na zambiaa kule Tundumaa bado imepakana na malawi kule kyela (kasumuluu) still bado uwezekano wa kua na masoko ni mkubwa kwa mbeya
 
Mkuu mbeya imepakanaa na zambiaa kule Tundumaa bado imepakana na malawi kule kyela (kasumuluu) still bado uwezekano wa kua na masoko ni mkubwa kwa mbeya
Mbeya Haina biashara zozote za maana na hizo Nchi labda kidogo saruji napo nayo inaenda zaidi DRC.

Huwezi Kuta usafiri wa Bus la directly Mbeya-Lusaka au Mbeya-Lilongwe hakuna tofauti na Tanga Iko integrated zaidi na Zanzibar, Mombasa na Dar.
 
Mkuu washakwambia mtu kwao,huwezi fananisha Mbeya na Tanga kwa mzungoko wa fedha labda kwa hali ya hewa.
Ukweli kuntu.Pamoja na kwamba Uchumi wa Mbeya ni mkubwa in terms of GDP kuliko Tanga ila ni agrarian in nature hivyo hakuna mzunguko mkubwa wa hela.👇👇
Screenshot_20240903-203253.jpg
 
Back
Top Bottom