Mbeya (Green City) vs Tanga (Jiji la Mahaba). Wapi Kuna Michongo ya Kukutoa Kimaisha Fasta?

Ulikuwa wapi siku zote kuyasema haya,..πŸ™„πŸ™„,....yan mautamu yote hayo mnajilia peke yenu?,..ngoja nichange nauli,..nakuja
 
Sisi tuko mbali sana , nyie wadogo zetu mnatakiwa mjifunze kwetu ...Sio kula maparachichi ndiyo maana mnakuwa wafupi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Mbali sana wapi? ,Hii kitu inaonesha nani yuko mbali? Labda mko mbali sN kujiremba sio Uchumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…