Mbeya haimo kwenye 10 bora matokeo Darasa la Saba. RC Chalamila (Mwalimu), unafeli wapi?

Mbeya haimo kwenye 10 bora matokeo Darasa la Saba. RC Chalamila (Mwalimu), unafeli wapi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeshangaa sana kutouona mkoa wa Mbeya kwenye 10 bora matokeo ya Darasa la Saba.

Je, ni siasa zimetufelisha au tatizo ni nini? Yawezekana tuliendekeza siasa tukasahau watoto madarasani.

Niishie hapo kama nimetazama vibaya niko tayari kusahihishwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa vile hakuna kiongozi wa upinzani huko labda mwakani Mbeya itakuwa nambari wani.
 
Nimeshangaa sana kutouona mkoa wa Mbeya kwenye 10 bora matokeo ya darasa la saba.

Je, ni siasa zimetufelisha au tatizo ni nini? Yawezekana tuliendekeza siasa tukasahau watoto madarasani.

Niishie hapo kama nimetazama vibaya niko tayari kusahihishwa.

Maendeleo hayana vyama!
Bwege huyu jamaa
 
Lakini meya alikuwa wa CCM!
Kwani meya kua CCM kulimzuia Sugu kueneza ujinga wake kwa watoto?
Rejea ile picha ya mtoto juu ya mti iliyoenea mitandaoni kipindi cha kampeni.
Wapinzani walituchelewesha sana!
 
Kwani meya kua CCM kulimzuia Sugu kueneza ujinga wake kwa watoto?
Rejea ile picha ya mtoto juu ya mti iliyoenea mitandaoni kipindi cha kampeni.
Wapinzani walituchelewesha sana!
Kwahiyo watoto wote wanamsikiliza Sugu!
 
Alikuwa anahangaika na Sugu kwanza. Tusubiri miujiza sasa kila kitu kiko chini yao
 
Back
Top Bottom