Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
Yule anamatatizo sana.Tatizo ni akili mbovu za choice variable yeye arguments zake lazima aingize ulinganifu wa miji. Huyu akili yake ilishaharibika mda mrefu. Mfano jf ana akaunti tatu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
TANGA PAZURI BHANA. Mbeya saizi yake ni manispaa za kahama, SINGINDA na shinyanga.Wivu utawaua, hiyo Rocky City siyo size yenu Mbeya. Nyie size yenu ni Kahama na Tanga huko. Ndio maaana mkuu wa nchi kwa mwaka anaweza tembelea hiyo city hata mara tatu kwa mwaka. Tena ukome kabisa kufananaisha kijiji chenu Mbeya na Jiji la Mwanza.
Ok ntatembelea huko siku mojaKatikati kwani hujui ni maeneo ya zamani na mostly ni ya biashara? Nyumba za Kisasa zitoke wapi?
Kwanza ituha,ilemi ,Uyole nk kote Kuna nyumba za Kisasa zipo
="Eliud Bunju, post: 46866966, member: 465903"
Lakn sasahivi Jimbo la mbeya mjini lipo na chama cha madarakani tutegemee makubwa zaidi jiji tayr juzi limetia saini ya kujenga barabara mpya ya njia nne kutoka igawa mpaka mbalizi .. ambayo itaacha katikati eneo la mwendokasi miaka ijayo....
Soon . Utaskia mbeya inajengwa stendi mpya ya mabus ...
If that makes you happy, ni sawa! Ila ukweli ni kwamba Mbeya ni jiji! Hutaki, kula limao uondoe makasiriko!Mbeya ni kijiji kikubwa huo ndio ukweli
Mbeya ni kijiji kikubwa!If that makes you happy, ni sawa! Ila ukweli ni kwamba Mbeya ni jiji! Hutaki, kula limao uondoe makasiriko!
Katika yote hayo, hujagusa criteria za kuupa mji hadhi ya jiji! Go back to your teacher!Okay tuondoe Mbalizi, tunabaki na Airport , uyole hadi igawilo, ilemi , isanga, meta, mabatini, soko matola , iganzu, gana, kote huko ni mavumbi mavumbini, mama Joni , ilomba, isyesye, uwata, kote huku uswazi.
Mara kadhaa nikiwa natokea chunya najaribu kupiga picha nipate view ya mbeya ila siipati, yaani hakuna angle utakaa upige picha ya jiji. Hakuna jiji pale. Hovyo kabisa . In short there is nothing to show off.
Hio kahama isipopangiliwa vzr itakuja kuwa kijiji kikubwa miaka ya mbeleni....TANGA PAZURI BHANA. Mbeya saizi yake ni manispaa za kahama, SINGINDA na shinyanga.
Mkuu hapo kwa mwanza umenifurahisha sana ππππMaster plan itazipanga upya hizo slums Ili kwanza ziwe accessible na Huduma zote za jamii..
Kupanga Mbeya ni rahisi sana kuliko.kupanga slums dwellers wa Mwanza ambao 70% ya population wanaishi kwenye mabanda kule milimani..
Mwisho Master plan inalenga kuhakikisha hakuna slums Mpya zinazoibuka..
Kuwa na milima hakuzuii mji kupangiliwa wa kukua hata kidogo...kama ni hivyo basi mji wa Mwanza usingekuwa na kupanuka vile...mwanza ina milima na ziwa juu...lakin tazama ukuaji wake...Mtoa mada Kuna baadhi ya.changamoto ni za kweli lakini shida SI ya wanambeya shida ni idara ya ardhi wananchi wapo mbele kuliko wao na Kuna ishu ya IRINGA na mbeya hii miji ya nyanda za juu kusini inafahamika katika geographical mji wa IRINGA upo mlimani na umetawaliwa na milima mingi yenye mawe na hii imepelekea hata Barabara nyingi za mitaa iringa ni finyu kupaki gari iringa ni ishu afu jiji la mbeya lipo bondeni na kwa kiasi kikubwa Sasa jiji limejaa makazi na ndio inapelekea tayari milima ya kwenda chunya imeanza kuvamiwa na nyanda za juu kusini miji mingi Ina shida ya milima mfano songea mc,tunduma, mbingatc ,njombe tc nk sehemu zenye tambarare kubwa ni ,sumbawanga mc ,makambako tc na rujewa haya ukilijua hili halikupi shida ko Kuna vitu lazima vitafeli katika uwekezaji huwezi ukasema Leo hii mbeya iwe na mpangilio kama dodoma ,dsm nk ni kitu ambacho hakiwezekani miji iliyo kwenye ukanda wa tambarare Ina advantage ya kukua zaidi kuliko iliyoko milimani kwa sababu ya uwepo wa maeneo maana kwenye mlima wote mtajazana sehemu moja mji unakuwa hausambai Cha msingi watu wa ardhi ni waamke wafanye kazi maana baadhi miji Ndo hivo wamesha iharibu View attachment 2667893wafanye kazi kama walichofanya dodoma miji inayo kuwa yote iwe hivo kurasimisha sio ishu hapa hata Barabara za mitaa zinakuwa za kutosha [emoji116][emoji116]HiYo ni baadhi ya miji ya nyanda za juu kusin mbeya jiji,iringa mc ,songea mc,tunduma tc,njombe tc na makambako tc View attachment 2667894View attachment 2667895View attachment 2667896View attachment 2667897View attachment 2667898View attachment 2667899View attachment 2667900
Wanaishi kwenye hayo mabanda hapo kwenye arrowMkuu hapo kwa mwanza umenifurahisha sana ππππ
Kwamba wasu **** wanaishi mabandani hahaha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji28]..Bora mbeya city imeshuka daraja maana Ni aibu AZAM TV kuonesha vichanja na mabanda ya kuku background ya uwanja... imagine ati hapa ni CBDWanaishi kwenye hayo mabanda hapo kwenye arrow View attachment 2668064 [emoji38][emoji38]
Wew acha kukariri ujinga[emoji116]Wanaishi kwenye hayo mabanda hapo kwenye arrow View attachment 2668064 [emoji38][emoji38]
Milima ya mwanza haiwezi kuwa sawa na ya iringa mjombaKuwa na milima hakuzuii mji kupangiliwa wa kukua hata kidogo...kama ni hivyo basi mji wa Mwanza usingekuwa na kupanuka vile...mwanza ina milima na ziwa juu...lakin tazama ukuaji wake...
Ishu ni serikali ya manispaa na mji husika kuwa serious na mipango yake...