Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Ukubwa wa old airport ni WA kiaje mkuu?maeneo tupu au makazi ya watu?!,wanaoweka stand nje ya mji wanamawazo mapana kuliko wale wanaokusanya project zote katikati ya mji kama wafanyavyo Mbeya,Mbalizi siyo sehemu ya Mbeya Jiji lakini ni ndani ya wilaya ya Mbeya,pia ni umbumbu tu wa viongozi wa mkoa kutoweza kupambana na kuipa hadhi Mbalizi kuwa halmashauri ya Mji,kupambana ni pamoja na kuset miundombinu mikubwa Karibu na Mbalizi Ili kuukuza mji huu.
Tatizo lako unawaza stendi ikijengwa IWAMBI wewe mkazi wa Ituha itakuwa mbali kufika😎,bila kujua kuwa Kuna stendi ya 88 pale,ko hutapaswa kufika stendi kuu mara Kwa mara!huo ubinafsi wenu ndiyo unaoirudisha Nyuma Mbeya

Kwa Sasa sidhani kama Kuna kata kubwa kuizidi IWAMBI Kwa eneo lililotupu ndani ya Jiji la Mbeya,kata kubwa tupu ni pamoja na Kalobe,Itende,Swaya,Mwasanga .

Waulize watu wa Mwanza Ile stand mpya wakati inajengwa kama palikuwa mjini pale,pia hata hii ya Mbezi(Magufuri)hapakuwa mjini kama uonavyo Leo pamechangamka.

Viongozi wa Mbeya wameshindwa land management,Angalia vyuo kama SAUT vilivyojibana mjini ilhali Kuna maeneo Mengi tu ndani ya Jiji yapo tupu,hongera kwao CBE wamejitokea nje kabisa ya mji(chunya road hukooo),pia ADEM nmeona jengo lao IWAMBI pale,(safi kabisa).

Changia chanya Kwa maendeleo ya mkoa wa Mbeya🙏
Hivi wewe kwenu ni wapi ulinganishe na Mwanza? watu wameshakwambia Mbeya ilikuwaje ikawa jiji hauwelewi. Mwanza imepimwa CBD yote, Nyegezi yote, Buswelu yote, Nyamongolo yote, Igoma yote, Ghana yote, Nyamanoro yote Nyakato yote! hivi haunaga aibu kulinganisha Mwanza na vimiji vyako hivyo?.Mwanza ile inayojengwa daraja refu nchini km 3.2,daraja la juu la sgr (Viaduct)km 1.4,soko kubwa pale City Center, stend 2 za maana, meli kubwa kuliko yoyote nchi hii.Tuwe wakweli tu Mbeya bado sana kwa Mwanza tuache chuki za kijinga hazitusaidii nchi hii ni yetu sote hata Mwanza ni kwetu wote wa Tanzania. All in all Mwanza is most developed City by everything after Dar es Salaam.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Umechanganikiwa mmepima Yale mawe? Dar yenyewe ni jiji ukilinganisha na majiji gani afrika?
 
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..

Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..

Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232

Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..

Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..

Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.View attachment 2658463
Bwashee lete mrejesho
 
Dodoma is green than mbeya bas tu ubishi ni tabia
emoji116.png
Dodoma is green than mbeya bas tu ubishi ni tabia[emoji116]View attachment 2657402
Dodoma inajengwa kwa msaada wa serikali, nani willingly angechagua kukaa jangwani, na wenye mji wa dodoma wagogo wengi ni ombaomba na wafanyakazi wa ndani
 
Personal attack na unataka kushinda,Unajua kwanini nimeacha ku argue nawewe?!nmegundua huna facts,unaishindanisha miji na hutaki Mbeya ishindwe,uko tayari kuficha uozo unaofanywa na viongozi kuidunisha Mbeya yetu,Viongozi wenye maono hafifu kuhusu Mbeya ni lazima waambiwe ukweli!Huna Nia njema na Mbeya mkuu,ungekuwa na Nia njema na mkoa huo basi ungetambua kirahisi Hilo Jiji linakwamishwa na viongozi mbumbu waliokosa exposure.

Siwezi kujifariji ujinga Mimi,MBEYA INA MPANGILIO MBOVU KULIKO MAJIJI YOTE TANZANIA,bila kusahau ukosefu wa KMS za barabara za lami.
Simiyu imepangwa vizuri njoo uishi
 
Dodoma inajengwa kwa msaada wa serikali, nani willingly angechagua kukaa jangwani, na wenye mji wa dodoma wagogo wengi ni ombaomba na wafanyakazi wa ndani
Unaijua jangwa wewe? Kabla ya kuwa Capital City Dom ilikuwa na watu wengi kushinda Mbeya.

Kama ni jangwani walikuwa hapo kufuata nini? Mnakadirishwa mambo ya kijinga sana
 
Back
Top Bottom