Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umeua kila kitu, na hapo Ghana na viunga vyake ipo nje, Nyegezi na viunga vyake ipo nje, Buzuruga na viunga vyake ipo nje, Nyamhongoro ipo nje, Busweru ipo nje
Mwanza City 😁😁😁👇Mbeya mnawaonea tu hawana ubavu wa ku battle na mwanza hao, naomba hii thread tuachane nayo,
Nairobi, Dsm, Lagos na miji mingine ya Africa ina mitaa ambayo niya zamani imeshakua kama slums,, Mbeya ni slums mpaka city centre, disorganized town vumbi kila konaMwanza City 😁😁😁👇View attachment 3122885
90% of Mwanza is Big Slum 😁😁Nairobi, Dsm, Lagos na miji mingine ya Africa ina mitaa ambayo niya zamani imeshakua kama slums,, Mbeya ni slums mpaka city centre, disorganized town vumbi kila kona
Hiyo ni mawazo yako finyu90% of Mwanza is Big Slum 😁😁
Takwimu za SerikaliHiyo ni mawazo yako finyu
Huko nikuishiwa hojaTakwimu za Serikali
Baada ya kupata kichaka cha kujisaidia naona kila muda ni mwendo wa kupost hii tourism yetu tukuka.Mwanza City 😁😁😁👇View attachment 3122885
Hii ni zaidi ya kibera, hii nahisi inaweza kuwa kati ya largest slum ni EAST AND CENTRAL AFRICA.
😂😂😂😂 unakuta takwimu zinasema Mbeya ni mkoa tajiri, hivi hizi takwimu huwa zinatengenezwa na wakina nani wenye vichwa mandazi.
🔨🔨🔨🔨👇👇😂😂😂😂 unakuta takwimu zinasema Mbeya ni mkoa tajiri, hivi hizi takwimu huwa zinatengenezwa na wakina nani wenye vichwa mandazi.
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..
Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..
Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232
Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..
Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..
Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.View attachment 2658463
Uchumi haupimwi kwa magunia ya viazi wala ndizi
Unapimwa Kwa kutumia nini?Uchumi haupimwi kwa magunia ya viazi wala ndizi
View attachment 3125016
Unapimwa kwa idadi ya kende.Unapimwa Kwa kutumia nini?