ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali ya Serikali ππ
Mbeya Kuna hela ,njaa zao ndio zinawaleta.Basi msipeleke wasanii mchwara kila siku. Labda ni sababu tosha ya kubadilisha uongozi
Mali ya Serikali ππ
Mbeya hatutegemei mbeleko ya majengo ya serikali ππ
View: https://www.instagram.com/p/C6a7QwBtxVn/?igsh=azFjOW5xaHF2NnYw
Ziko wapi hizo nzuri?Leo imekua mali ya serikali na wana Dodoma wasemeje sasa?. MWANZA gorofa nyingi ni msuri wa wana nchi wenyewe, wenye mbeleko wa serikali ni Dodoma, Arusha na Dsm, kwenye swala la kubemendwa na serikali yetu Mwanza na Mbeya tupo kwenye kilio kimojaπ€£
wewe hujaona au unafikiri yote niliyopost ni majengo ya serikali?
Kitu inaenda kutoka hapa sio ya Nchi hii,kaangalie uwanja wa Dom ndio Utajua hujui ππMbeya bado Iko nyuma sana,mji haujapangwa kabisa,uchafu kuanzia wa nyumba ,bara bara na mavumbi yameenea Kila mahali.Hotel tunazoweza kuita five star kama sio four star hazizidi tatu
1.Mdope hotel ,2.Royal Mgwasi na 3.Eden highland..kiufupi Mbeya inahitaji kupangwa upya.Slums zinachafua mkoa .Mji upangwe na kuwe na miongozo ya kujenga..sio Kila mtu akiamka anakandika udongo anajenga nyumba.
πππ¨π¨π¨Mbeya ni Kijiji Cha walima parachichi
πππ¨π¨ππView attachment 3115939Huku hakuna vumbi kama la iwambi mazeee
Hapa sio Arusha ni Mbeya ππLeo imekua mali ya serikali na wana Dodoma wasemeje sasa?. MWANZA gorofa nyingi ni msuri wa wana nchi wenyewe, wenye mbeleko wa serikali ni Dodoma, Arusha na Dsm, kwenye swala la kubemendwa na serikali yetu Mwanza na Mbeya tupo kwenye kilio kimojaπ€£
π¨π¨π¨ Sio Swiss ni Mbeya ππMabanda, hata hatuhangaiki tukuache upaliwe tu. Yaani mbeya inanyukwa na Iringa kwenye kila kitu sijui huwaga unafanya kujifurahisha au kukuza Uzi wako .
π¨π¨π¨ Sio Swiss ni Mbeya ππ
View: https://x.com/hade_travel/status/1627695382363766785?t=3STDr7C0V8xgxtjKLXma6w&s=19
Soma kwenye hii list utaona ni Kiti gani? ππππWewe bhana hizo ni Nini sasa na wewe
Soma kwenye hii list utaona ni Kiti gani? ππππ
View: https://x.com/hade_travel/status/1631195853518954498?t=88dxfVDMVeSbG2NCzg9Zyw&s=19
Au kama hujaelewa kaulize Harare ππ
View: https://x.com/hade_travel/status/1622881888972025857?t=Qpb7uqGxc3tb2b5Qhz-2rQ&s=19