Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Basi msipeleke wasanii mchwara kila siku. Labda ni sababu tosha ya kubadilisha uongozi
Mbeya Kuna hela ,njaa zao ndio zinawaleta.

Mabilioni ya Mapato ya Halmashauri za Mbeya,huwezi Kuta hii Mwanza πŸ‘‡πŸ‘‡
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg
 
Leo imekua mali ya serikali na wana Dodoma wasemeje sasa?. MWANZA gorofa nyingi ni msuri wa wana nchi wenyewe, wenye mbeleko wa serikali ni Dodoma, Arusha na Dsm, kwenye swala la kubemendwa na serikali yetu Mwanza na Mbeya tupo kwenye kilio kimoja🀣
Ziko wapi hizo nzuri?
 
Mbeya bado Iko nyuma sana,mji haujapangwa kabisa,uchafu kuanzia wa nyumba ,bara bara na mavumbi yameenea Kila mahali.Hotel tunazoweza kuita five star kama sio four star hazizidi tatu
1.Mdope hotel ,2.Royal Mgwasi na 3.Eden highland..kiufupi Mbeya inahitaji kupangwa upya.Slums zinachafua mkoa .Mji upangwe na kuwe na miongozo ya kujenga..sio Kila mtu akiamka anakandika udongo anajenga nyumba.
Kitu inaenda kutoka hapa sio ya Nchi hii,kaangalie uwanja wa Dom ndio Utajua hujui πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/e2Xn7DLT1Qs?feature=shared
 
Leo imekua mali ya serikali na wana Dodoma wasemeje sasa?. MWANZA gorofa nyingi ni msuri wa wana nchi wenyewe, wenye mbeleko wa serikali ni Dodoma, Arusha na Dsm, kwenye swala la kubemendwa na serikali yetu Mwanza na Mbeya tupo kwenye kilio kimoja🀣
Hapa sio Arusha ni Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/hade_travel/status/1745353206551433667?t=Mo_6DXxEj0gpCCGli_Na3g&s=19

View: https://x.com/hade_travel/status/1627695382363766785?t=3STDr7C0V8xgxtjKLXma6w&s=19

Wapi Mwanza? πŸ˜†πŸ˜†
 
Yaani unapotuma hizo picha umejitutumua utafikiri akili imekandwa na ngano, una Imani kabisa hayo mabanda ndo ya kubattle na mwanza. Punguza mihemuko
 
Back
Top Bottom