ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza hakuna kitu Cha maana Cha kuitwa Jiji la pili zaidi ya watu.Kwenye huu Uzi choice variable napo anakaza misuli ya shavu kutaka kuifananisha mbeya na mwanza??. Kijana wa hovyo sana ideally ni kati ya vijana wanaoliingizia Taifa hasara. Kichaa siyo lazima aokote makopo.
Cha ajabu ni kipi hapo? Dar hujawahi kutana nazo?Mbeya nilishakutana na nguruwe zinajichunga zenyewe street nilishangaa mwenyeji wangu akaniambia hizo zinajua nyumbani kwao jioni zitarudi
Haya ni matumizi mabaya ya ardhi, unawekaje mradi kama huu kwenye eneo centerd kama hilo ? Hapo ni center kabisa ilitakiwa lipigwe dude zaidi ya lile la Rock city mall, liwe ghorofa la maana na lenye varieties za maduka na supermarkets hilo eneo ni bery prime, na wameshaliharibu, hizo frame zitakua za biashara ndogo ndogo tu. It will take years and years walibomoe wajenge jengo kubwa na lamaana hapoKwamba hiyo masterplan inahusisha ujenzi wa fremu za kupangisha CBD?
Kwanini halmashauri ya mji wa mbeya inapenda sana Fremu ?
View attachment 2656258
CBB ilishahama ,by the way huko Mjini Kwa Sasa kunafaa Hoteli,kumbi za mikutano na Residential Apartments au ofisi ambazo havihusiani na Biashara.Haya ni matumizi mabaya ya ardhi, unawekaje mradi kama huu kwenye eneo centerd kama hilo ? Hapo ni center kabisa ilitakiwa lipigwe dude zaidi ya lile la Rock city mall, liwe ghorofa la maana na lenye varieties za maduka na supermarkets hilo eneo ni bery prime, na wameshaliharibu, hizo frame zitakua za biashara ndogo ndogo tu. It will take years and years walibomoe wajenge jengo kubwa na lamaana hapo
Najua unatamani sana Mbeya ifanana na Majiji mengine ila unashahu kwamba Mbeya haipewi attention na Serikali.Kwamba hiyo masterplan inahusisha ujenzi wa fremu za kupangisha CBD?
Kwanini halmashauri ya mji wa mbeya inapenda sana Fremu ?
View attachment 2656258
Sijawahi kukutana nazo, kwanza dar wangeibiwa wale mbuzi tu huku mbezi beach makonde wanaozungukazunguka wenyewe ni imani za kishirikina tu ndio zinawalindawalinda ingawaje kuna wajuba wanawaiba hivyohivyoCha ajabu ni kipi hapo? Dar hujawahi kutana nazo?
Umewahi tembea Dar yote?Sijawahi kukutana nazo, kwanza dar wangeibiwa wale mbuzi tu huku mbezi beach makonde wanaozungukazunguka wenyewe ni imani za kishirikina tu ndio zinawalindawalinda ingawaje kuna wajuba wanawaiba hivyohivyo
Kwa hoja gani?Nakubaliana mtoa mada ..
Very contaminated city everMoja kwa moja kwenye mada;
Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?
Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha ya mbeya kwa ujumla ni typical kijijini. No order , hakuna ustaarabu, chaotic , vumbi, makelele , watu wanapita na magari ya matangazo ya kila aina Hadi ya misiba. Hawa NEMC badala ya kudeal na kidimbwi na kitambaa cheupe kwanini huku hamuoni?
Mbeya hakuna usafiri wa Taxi , Bajaji ni nyingi kuliko abiria na hazina route yaani kokote anaenda. Daladala routes ni mbili tu Mjini Mbalizi au Mjini Uyole. Ikifika saa tatu usiku basi wewe daka boda uende uendako.
Mbeya hakuna hadhi wala mwonekano wa jiji, tofauti kabisa na Arusha au Mwanza, Mji mzima hakuna hata sehemu ya kufanya matembezi ? Mbeya nyumba za tope zimetapakaa kuanzia uyole, sae, hadi soweto makunguru hadi nzovwe na iyunga.. huko mbalizi ni balaa lingine.
Inashangaza kuona 2023 katikati ya mji serikali inajenga fremu za kupangisha. Thatβs so annoying.
Why not some modern Structure like a shopping mall?
Hivi mna uhakika hawa viongozi wa halmashauri ya mji wa Mbeya walienda shule kweli? Miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na Fursa ya kujenga Soko la kisasa au shopping mall pale mwanjelwa jamaa wa huko halmashauri ya mji wakaja na lidude la kizamani (structure nzee ya miaka ya 1700s huko) tena kwa mabilioni ya pesa, baada ya pale SIDO kuungua tukajua watakuja na kitu cha tofauti, wapi. Yaleyale.
Picha: Mwonekano wa juu wa mji wa mbeya.
Fremu za Biashara zinazojengwa na Halmashauri ya jiji la mbeya katikati ya mji (CBD)
Jengo la soko la mwanjelwa lililojengwa kwa gharama kubwa (bilioni 60+) pesa za walipakodi
Eneo la kabwe, hapa jioni hugeuka gulio.. hapa unahitaji tu kuwa na bidhaa..nenda kabwe then mwaga chini uza. Vurugumechi.
Miundombinu ni duni sana, duni mno . Barabara ni moja tu ya TAZAM Highway inayopita mjini ambayo ni chakavu sana na ni moja (Sio Dualed). Mbeya si rafiki wa watembea kwa miguu sababu utagongwa muda wowote kama sio na bajaji basi bodaboda. Hakuna jogging Mbeya.
Kwa upande wa huduma za Afya mbeya pako [emoji817]. Mengine ni hovyo kabisa..
Ushauri:
1. Mradi mpya wa barabara ya njia nne toka uyole hadi Uwanja wa ndege ufanyike njia sita maeneo ya Mjini kupunguza foleni, na pia kuwe na provisions za watembea kwa miguu, pale mafiati kuwe na interchange kurahisisha traffic na angalau tusifikirie kubomoa na kujenga tena kwa miaka 15 ijayo.
2. Zijengwe nyumba za kisasa za makazi sehemu kama airport ya zamani. Pia kile chuo cha kilimo kitoe yale mashamba kwa NHC na zijengwe affordable houses nk. Mashamba hayatakiwa mijini. Nchi ina mapori mengi sana
3. Upandaji wa miti iwe ni kipaumbele. Walau kupunguza lile vumbi mjini. Watoto wa shule za misingi na sekondari can easily do this bila hata gharama.
5. Think Big. Jiji linaweza kuanza kufikiria kuwa na reli nyepesi ya abiria toka uwanja wa ndege wa Songwe hadi Uyole, na kubranch pale Meta ikaenda hadi mjini na kuja kutokea mwanjelwa. Kwa Jografia ya mji wa mbeya reli hii itarahisisha usafiri kwa zaidi ya 80% ya mahitaji ya usafiri wa mjini.
6. Maeneo ya wazi yawepo. Hii in muhimu sana.
NB: Mimi sio mwandishi wa wa habari.
Mbeya ni ziziKwa hoja gani?
Mzee unajitahidi sana kuipambania Mbeya, ila ukweli upo wazi kabisa mji wenu ni kijiji kikubwa chenye watu wengi basi. 70% ya nyumba hapo mbeya kijijini ni za udongo tena zilizojengwa bila mpangilio.Umewahi tembea Dar yote?
Kinafanana na Kijiji gani kwingine kikubwa chenye watu wengi? ππMzee unajitahidi sana kuipambania Mbeya, ila ukweli upo wazi kabisa mji wenu ni kijiji kikubwa chenye watu wengi basi. 70% ya nyumba hapo mbeya kijijini ni za udongo tena zilizojengwa bila mpangilio.
Ila haiwezi zidi zizi la Mwanza ππMbeya ni zizi
Inaweza zidi Dar na kunuka kule?Very contaminated city ever
Ni kweli mpka uende uswahilini sana mkuu mbeya hapajulikani hapa ni sehem ya mipango miji kila sehem pako sawa na mabatini isanga Airport na kwingeneko katikati ya mjiInaweza zidi Dar na kunuka kule?
Ni kweli mpka uende uswahilini sana mkuu mbeya hapajulikani hapa ni sehem ya mipango miji kila sehem pako sawa na mabatini isanga Airport na kwingeneko katikati ya mji
Nioneshe uswazi hapa π π
Ubora wake uko kwenye nini wa hizo Manispaa ππBora Manispaa za Iringa na Morogoro kuliko likijiji likuubwa la mbeya