THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huo ushamba wenu utawamaliza kwa ajali. Nimeishi Tanzania mikoa karibu yote, wasafiri wa Mbeya ndiyo wanaongoza kwa kupenda kusafiri na mabasi yanayokimbia sana. Acheni ushambaHabari za wakati huu
Sisi wanambeya tunapenda sana scania G7 ya mineso sio hii michina ikipiga tuta unahisi uharo.
Kwanza michina ukipanda unafika umechoka tofauti na scania G7.
sisi ni washamba ndio lakini tunapenda ScaniaNa huo ushamba wenu utawamaliza kwa ajali. Nimeishi Tanzania mikoa karibu yote, wasafiri wa Mbeya ndiyo wanaongoza kwa kupenda kusafiri na mabasi yanayokimbia sana. Acheni ushamba
Sisi tunapenda G7 mengine utajua weweNa huo ushamba wenu utawamaliza kwa ajali. Nimeishi Tanzania mikoa karibu yote, wasafiri wa Mbeya ndiyo wanaongoza kwa kupenda kusafiri na mabasi yanayokimbia sana. Acheni ushamba
Poleni sana Mkuu.Habari za wakati huu
Sisi wanambeya tunapenda sana scania G7 ya mineso sio hii michina ikipiga tuta unahisi uharo.
Kwanza michina ukipanda unafika umechoka tofauti na scania G7.
Hayapo TenaKwani alizikwa na mabasi yake? Chukueni moja mtumie
Huyu dem wa mtu kafikafikaje tena hapa
Hili ndio Bus la Scania ?
Hahaa😂Sisi tunapenda G7 mengine utajua wewe
Kupenda kusafiri kwa kasi ni ushamba kwa vipi? Nakumbuka Magufuli alisema SGR iongezwe maximum spidi toka 150km/hr to 170km/hr kwa sababu Watanzania wanapenda spidi. Na watu wote tukafurahia. Sasa huo ni ushamba?Na huo ushamba wenu utawamaliza kwa ajali. Nimeishi Tanzania mikoa karibu yote, wasafiri wa Mbeya ndiyo wanaongoza kwa kupenda kusafiri na mabasi yanayokimbia sana. Acheni ushamba
Lbda yalikuwa ya mkopo, yamezuiliwa. Na pia hivi vitu huwa vinasimamishwa, hata kwa amri ya mahakama, hadi mambo ya mirathi yawe concludedKwani alizikwa na mabasi yake? Chukueni moja mtumie
Ni aibu mbeya kukosa polo G7Poleni sana Mkuu.
Mwanza wanatesa na Katarama, njia ya Arusha wanazo Dar Express kama sikosei.
Mwamba/Mwekezaji/Mjasiliamali mzawa SAULI apumzike mahala pake.
Tuombee waliobaki wawe na uthubutu kuendeleza Biashara japo siyo rahisi.
Tuta shukuru maana michina mbeya ni mingi kama mboga za majaniNgoja niongee na DAR Express awaleteeni japo Manne 😃
SawaMAREKEBISHO
1.Hatoweke - ❌
2.Atoweke - ✔️
Ndo scania G 7 Hilo😲