Mbeya hatuna hata bus la scania G7 tangia sauli hatoweke tunatia huruma sana hii michina tunapanda basi tu!

Kweli mswahili kuendeleza biashara ni changamoto kubwa
Yaani akifa tajiri tu familia inasherehekea na kugawana fito
Sijui laana hizi mliziomba nchi gani?

Mnalalaka kukosa Scania si ununue wewe kama familia imeamua kurudi kwenye umasikini ili wewe upande chati na ukifa ndugu wagawane nao wayauze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…