Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Igweeeeeeee
Hakika ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya Filauni, Nimekutana na Jambo la kustaajabisha kulingana na eneo lilipotokea
Sipingi uwepo wa makundi ya ulinzi shirikishi lakini lazima tuelewe kuna vikundi vinafaa kuwepo vijijini tu pia ni ajabu ndani ya jiji watu wanalazimishwa kulala muda ambao wanaweza kufanya biashara huku jeshi la polisi likiweka ulinzi
Ndani ya jiji unazijua raia wema wanaofanya shughuli zao?
Yaani anamove tokea city pub kwenda mbeya pazuri unamkamata?
Sasa uwepo wa biashara za usiku mlitaka nani awe mteja
Kwa hadhi ya jiji sungusungu Hana nafasi, tulipo jeshi nafasi yake watu tulindwe na si kupangiana muda wa kulala ilhali Sisi ni raia wema.. nayaandikq haha kwa masikitiko Jana nilitaka kufanya maafa baada ya kukamatwa na hao sungusungu
Hakika ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya Filauni, Nimekutana na Jambo la kustaajabisha kulingana na eneo lilipotokea
Sipingi uwepo wa makundi ya ulinzi shirikishi lakini lazima tuelewe kuna vikundi vinafaa kuwepo vijijini tu pia ni ajabu ndani ya jiji watu wanalazimishwa kulala muda ambao wanaweza kufanya biashara huku jeshi la polisi likiweka ulinzi
Ndani ya jiji unazijua raia wema wanaofanya shughuli zao?
Yaani anamove tokea city pub kwenda mbeya pazuri unamkamata?
Sasa uwepo wa biashara za usiku mlitaka nani awe mteja
Kwa hadhi ya jiji sungusungu Hana nafasi, tulipo jeshi nafasi yake watu tulindwe na si kupangiana muda wa kulala ilhali Sisi ni raia wema.. nayaandikq haha kwa masikitiko Jana nilitaka kufanya maafa baada ya kukamatwa na hao sungusungu