Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Jamani kuna yeyote anayejua ule uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini kinaendelea coz sijawahi sikia ndege zinatua na kuruka kutoka huko. It's many years now since the construction started.........au hauna viwango vya kimataifa?