Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Nimekaa Mbeya wiki nzima, Mbeya haieleweki vizuri

Huwezi kujua center ni wapi...yaani maduka makubwa na masoko yapo barabarani tu

Mji haujapangiliwa vizuri halafu barabara ni mbovu kwa sehemu kubwa

Nilikuwa nakaa pale SAE mitaa ya TANESCO
Ningeshangaa ukosekane huku.Usisahau kwenda kukaa Butimba,mabatini nk
 
Hapana , hatumuonei wala hatumlaumu.
Msingi wa mada yangu ni kwamba sasa tuna mbunge mwelewa na mwenye International exposure ya jinsi mji au jiji linavyotakiwa liwe.
Ukiwaeleza mada hii waliokuwa wabunge kama Sugu utakuwa kwa kweli unamuonea tu maan hao ni zao la haya hya ma squatter.
Mbona sugu ndio ana exposure kuliko huyo tulia!?
 
Mkuu nasisisitiza, ukiutafuta ushirikinia huna haja ya kwenda Mbeya, hapo hapo Bongo utawakuta kina Kalumanzira, wengi tu, tena na mabago ya kazi mitaani.
Ni kweli ila narudia, Mbeya imezidi maana kila nyumba ina mchawi na mchungaji na waumini waabudio Mungu na ushirikina
 
Mbona sugu ndio ana exposure kuliko huyo tulia!?
Ana exposure ya Mwanjelwa huyo. Shule hamna, international exposure ndoto!
Ukimuuliza athari za mipangomiji Mbeya, atasema wasela pale Mwanjelwa wasisumbuliwe.
 
Ni kweli ila narudia, Mbeya imezidi maana kila nyumba ina mchawi na mchungaji na waumini waabudio Mungu na ushirikina
Mkuu unatoka pori gani na imani yako haba.
Nenda mji wowote nchini, ukiutFuta ushirikina utsupata kwa wingi, ukitafuta nyumba za ibada utazipata vile vile.
Chaguo litabaki kuwa lako mwenyewe.
 
Ana exposure ya Mwanjelwa huyo. Shule hamna, international exposure ndoto!
Ukimuuliza athari za mipangomiji Mbeya, atasema wasela pale Mwanjelwa wasisumbuliwe.
Sugu kaishi uingereza kaishi marekani kaanza kwenda ulaya akiwa bwana mdogo kutokana na usanii unasemaje hana exposure?
 
Mkuu unatoka pori gani na imani yako haba.
Nenda mji wowote nchini, ukiutFuta ushirikina utsupata kwa wingi, ukitafuta nyumba za ibada utazipata vile vile.
Chaguo litabaki kuwa lako mwenyewe.
Mbeya ni balaa jamani, unakasirika nini? Utakuta mtu ni muimbaji wa injili lakini usiku anaruka na kanisani hakosi
 
Sugu kaishi uingereza kaishi marekani kaanza kwenda ulaya akiwa bwana mdogo kutokana na usanii unasemaje hana exposure?
Tuambie kama hakuishi kwenye maboksi!
Sawa na mtu kuishi Gongo la Mboto, Kitunda halafu uibadilishe Dar!
 
Sio suala la nani mchovu ishu hapa nani ana exposure kati ya sugu na tulia? Ushabiki tuweke pembeni tuongee ukweli
Mchovu kakubadilisha nini, 10 years mtu anaridhika na squatters, nanyi mlio kwenye hizo squatters mnaona poa.
 
Back
Top Bottom