Labda litapaaHuyo anajifurahisha tu maana Mungu aliapa hawezi kuangamiza wanadamu kwa gharika la maji tena.
Mungu hawezi tengua neno lake.
GALILAYA njiapanda ya kwenda mnazareti kona ya mzeituni jengo la SULEMAN gorofa ya 102 ..chumba namba 5 ...Tiketi zinapatikana wapi?
Nuhu atavumilia kuishi bila yao?Nimeambiwa watumiaji wa mirinda , na walaji wa pilau au watumiaji wa mtandao pendwa hawaruhusiwi
Badala unitafute nikuwekee nafasi humo🤣🤣Heaven Sent wanyakyusa mtupumzishe sasa.
Nikiona vimanyunyu nitakutafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Badala unitafute nikuwekee nafasi humo[emoji1787][emoji1787]
Utalia na kusaga meno wewe poozaNikiona vimanyunyu nitakutafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utalia na kusaga meno wewe pooza
Poleni wote lioahidiwa kupanda Safina, nimerudi usiku huu toka Ipinda ya Kyela ambako nikiwa na kikosi tuliitafuta mashambani bahati mbaya hatukuiona pamoja na kuwahusisha wazee wa busara hatukufanikiwa. Tunawashauri kila mmoja ajiandalie beseni kubwa lakumtosha na mwamvuli.Habarini za mda huu ndugu zangu, kule Mbeya wilaya ya Kyela kata ya Ipinda kuna mwamba anatengeneza hii kifaa kwasabu nimeona nikasema nije kuwaeleza ndugu zangu ili badaye tusije laumiana kusema cjawambia.
HAYA WATU WA MBEYA
UGONILE!
View attachment 2180118