Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Gari zilikuwa zimepaki.Alaumiwe kinana kwa kutoa maaskari barabarani, madereva wa TANZANIA ni SAwa na mbuzi wasipochungwa lazima ajali ziwe nyingi
Kwann zipakHizo Gari zilikuwa zimepaki.
Dereva akichoka anapumzika.Kwann zipak
Akapark parking za serikali na sio pembeni mwa barabaraDereva akichoka anapumzika.
Sio kila sehemu kina Parking za serikali.Akapark parking za serikali na sio pembeni mwa barabara
Na sio lazima kupaki barabarani mbona nje ya barabara yapo maeneoSio kila sehemu kina Parking za serikali .
Wahini mkachote mafuta ya bureMoto mkubwa unawaka muda huu kijiji cha mwale Chimala mkoani Mbeya malori ya mafuta yanateketea na moto chanzo cha ajali bado hakijulikani. Malori ya mafuta yanawaka moto ni balaa
Ni pale hapo stendi mpya karibu na dukani kwa Mama Pipo.
View attachment 2330852
Mara nyingi unakuta pamejaa sasa kama umechoka na una usingizi unatafuta sehemu ambayo unahakikisha uko nje ya lami.Na sio lazima kupaki barabarani mbona nje ya barabara yapo maeneo
Wana bima kubwa unafikiri ni wajinga. Na siajabu amelichoma mwenyewe
Taarifa iliyothibitishwa na Mkaguzi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Ayoub Sanga, imeelezwa kuwa Magari 6, Pikipiki 2 na Nyumba 4 zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Chimala Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.Moto mkubwa unawaka muda huu kijiji cha mwale Chimala mkoani Mbeya malori ya mafuta yanateketea na moto chanzo cha ajali bado hakijulikani. Malori ya mafuta yanawaka moto ni balaa
Ni pale hapo stendi mpya karibu na dukani kwa Mama Pipo.
View attachment 2330852