Mbeya: Magari yanateketea kwa moto kijiji cha mwale Chimala

Alaumiwe kinana kwa kutoa maaskari barabarani
 
Alaumiwe kinana kwa kutoa maaskari barabarani
 
Alaumiwe kinana kwa kutoa maaskari barabarani, madereva wa TANZANIA ni SAwa na mbuzi wasipochungwa lazima ajali ziwe nyingi
 
Na sio lazima kupaki barabarani mbona nje ya barabara yapo maeneo
Mara nyingi unakuta pamejaa sasa kama umechoka na una usingizi unatafuta sehemu ambayo unahakikisha uko nje ya lami.
 
Taarifa iliyothibitishwa na Mkaguzi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Ayoub Sanga, imeelezwa kuwa Magari 6, Pikipiki 2 na Nyumba 4 zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Chimala Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

Diwani wa Kata hiyo, Charles Komba amesema moto huo ulianza majira ya saa nne usiku kutoka kwenye Lori lililokuwa limeegeshwa katika kituo maalumu cha magari maarufu kama Mama People.

Zimamoto lilifika saa 6 usiku na kufanikiwa kuzima moto huyo ambao chanzo chake kimetajwa kuwa ni biashara holela ya mafuta ya petroli na dizeli iliyokuwa ikifanywa na madereva katika eneo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…