Uzuri hiyo itakuwa 2020. Polisi watakuwa wametawanyika, na wananchi watakuwa wengi kulikompolisi kwenye majimbo husika ya uchaguzi. utasikilizia mziki wake.Kitu pekee kitakachoweza kumpa ushindi tulia kwa jimbo la mbeya mjini ni jeshi la polisi kuingilia mchakato wa uchaguzi kama walivyofanya kinondoni
kuanzia kigoma, chita, usukumano etcKuna ukabila kumbe?
kuanzia kigoma, chita, usukumano etc
Wakati huo walikuwepo wacha Mungu sio huyu anayeamini hata akifa atakuwa rais wa malaika.Hicho siyo kisingizio, Augustino Lyatonga Mrema akiwa Nccr mageuzi alishinda katika uchaguzi mgumu kuliko ule wa Kinondoni!
Sana tu. Inaweezekana tuna mpaka watu kutoka China, Rwanda, Malaisia, Burundi, Kenya na kwingineko. Kibaya zaidi inawezekana wapo kwenye nafasi za juu sana katika Serikali na majeshi.Kuendelea ni vgm sana
Tutapima nguvu ya upepo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.hivi nyie mko wapi
hivi huu utawala mnadhani RAIA ndo wanachagua wawakilishi Aminini nawaambieni so Mbeya so Arusha so Karatu hats Hai uchaguzi ukiwepo CCM ndo watatawazwa nyie endeleeni na ramli zenu maana hamjui kilichoisibu Tanganyika
Kipindi kile cha utawala wa sheriaHicho siyo kisingizio, Augustino Lyatonga Mrema akiwa Nccr mageuzi alishinda katika uchaguzi mgumu kuliko ule wa Kinondoni!
Huu ndio ukweli. Inauma lakini ndiyo ukweli. Suluhisho tufanyeje?hivi nyie mko wapi
hivi huu utawala mnadhani RAIA ndo wanachagua wawakilishi Aminini nawaambieni so Mbeya so Arusha so Karatu hats Hai uchaguzi ukiwepo CCM ndo watatawazwa nyie endeleeni na ramli zenu maana hamjui kilichoisibu Tanganyika
Sikubaliani na hoja hii nachoamini wanambeya hawawezi mpigia tulia kura kwani hawajazoea kuamliwa na mala zote wameonyesha hilo kuhusu kumpigia kura mnyakyusa walimpigia mwaiseje kura Kwa sababu tu alikuwa upinzani rejea nyuma toka uchaguzi wabkwanza jumbo hili lilichukuliwa na wapinzani historian itakuambia mbeya kizazi cha mabadiliko kitambo tuuu na huyu sugu ukumbuke alimshinda msafwa hapo ugundueMbeya ipo hivi.
1. Msafwa kumpa kura mnyakyusa ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa
2. Mbeya imejaa wakinga. wafanya biashara wakubwa pamoja na machinga 90% ni wakinga
3. Wafanyabiashara ndogo ndogo ni wengi sana kwa mbeya kuliko hata wanyakyusa wanaoishi mbeya mjini
4. Wafanyabiashara wa Mbeya wakuwa wana ushawishi sana ingawa ukiwaona kwa nje unaweza dhani ni watu waliopooza sana
5. Sugu ni mkinga jina la Mbilinyi ndo linalombeba sana
Itakuwa kama ya Batrida Buriani kule Arusha alivyogalagazwa na Rema hadi akatoa machozi na kilio cha aibu, sasa huyu Tulia akilia sijui itakuwaje.Tulia akigombea Mbeya mjini itakuwa ni kujutakia kudharirika.
Tume kwani ni ya Chadema?Tulia namuonea huruma mby mjini labda rungwe huko anaweza kuambulia...
Swadakta! Wewe wazijua siasa za Wilaya ya Rungwe!Tulia anagombea Rungwe sio mbeya mjini ,,,nipo huku nashuhudia mengi
Sauli anampisha Tulia
Na hii ni habari mbaya kwa kasesera ambaye anapiga jalamba kumrithi sauli
Utakuwa ni mpambano wa watu wawili tofauti kabisa.... Niishie hapo!
Rungwe yupo Kasesela anapiga jalamba!Kwa nini wasimpeleke Rungwe ambako jimbo liko empty?