Mbeya: Mume amuua mkewe kwa kumchinja na kutenganisha kichwa na kiwiliwili

Mbeya: Mume amuua mkewe kwa kumchinja na kutenganisha kichwa na kiwiliwili

Simanzi na vilio vimetawala kwa wakazi wa kitongoji cha Masista kijiji cha Lusese Kata ya Igurusi baada ya Omben Kilawa mkazi wa kijiji hicho wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kumuua mke wake Happness Mwinuka kwa kumchinja na kutenganisha kichwa na Kiwiliwili.

Tukio hilo limetokea majira ya saa 7.00 usiku wa kuamkia leo Machi 13, 2024 ambapo jirani amesema alisikia kelele kama watu wanagombana lakini baada ya nusu saa kukawa kimya na kuamua kupiga yowe ndipo watu walipojitokeza na polisi kufika wamelibomoa mlango wa chumbani kwao na baada ya kuingia Kilawa alikuwa ameshatekeleza mauaji kwa kumchinja mke wake na kwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili.

Mara nyingi watu wenye maamuzi ya namna hii huwa wanatumia bangi .....

Nimefanya uchunguzi mkubwa nikajuaga hii kitu bangi ukitachanganya hasira unaweza fanya mambo ya ajabu sana

THC ni chemical mbaya sana isipo tumiwa kwa umakini maana huleta hallucination na maamuzi ya m hovyo hapo majirani ukiwauliza vizuri watakwaambia alikuwa anatumia hicho kitu ...bangi ukichanga na pombe ndo kabisa unaweza muua hata mamako
 
Hawa jamaa wa Mbeya bwana, kila kitu kibaya kinatoka kwao...kuanzia kuchunana ngozi miaka ya 90 huko.
Njombe na mbeya burudani sana hakupoi.

Kuna yule RC wa njombe huwa namuhurumia sana maana haipiti wiki bila kukutana na tukio la mauaji haswa haswa sababu ni mapenzi.

Hawa raia sijui huwa wananyweshwa nini maana suala la kujitoa uhai ni kama kwenda sokoni......
 
Kuna kipindi Rfa kilikua kinaitwa Matukio, kilikua asubuhimida ya saa 1. 70% ya matukio yaliyokua yanalipotiwa yalikua yanatoka mbeya. Uchawi, ujambazi, Kuchuna ngozi, mauaji, wizi, nk nk. Matapeli wote wa kidini 60%wanatoka mbeya.

Hawa jamaa kwenye uhalifu wanaongoza aisee...
Hapana wanaoongoza ni wa kanda ya ziwa
 
ukimwacha atatamba mwisho utajinyonga wewe ujanja kuwahi wanaumeeee kama demu kala vyakoo tembeza beto ikiwezekana vunja miguu vita ni vita muraaa ukimwacha atakutambia mwisho ujinyonge, huduma unampa, muda wako kaupoteza, unyumba hupati, mwisho unamkuta na njemba unauliza anagoma wee tembezaa betoo
Yule ndugu yako mnafanana avatar anaitwa nani?
 
Mara nyingi watu wenye maamuzi ya namna hii huwa wanatumia bangi .....

Nimefanya uchunguzi mkubwa nikajuaga hii kitu bangi ukitachanganya hasira unaweza fanya mambo ya ajabu sana

THC ni chemical mbaya sana isipo tumiwa kwa umakini maana huleta hallucination na maamuzi ya m hovyo hapo majirani ukiwauliza vizuri watakwaambia alikuwa anatumia hicho kitu ...bangi ukichanga na pombe ndo kabisa unaweza muua hata mamako
Vitu vinavoongoza kusingiziwa uhalifu Ni pombe, bangi, matatizo ya akili na mashoga [emoji3061][emoji3061]
 
Back
Top Bottom