The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Huyo mtoto lazima kuna kosa alitenda ndiyo maana akapewa adhabu ya kulala njaa.
Ilibidi lihojiwe kwanza kosa gani alitenda hadi kupelekea kulazwa njaa kisha kama lina mantiki ahojiwe huyo mtoto kwanini asiitumikie adhabu yake ya kwanza akaenda kutenda kosa lingine la wizi?inaanza hivi hivi kesho ametetewa anamaliza form six anaingia chuo anaendeleza tabia za wizi kwa vitu vya wanachuo wenzake kesho anamaliza anapata ajira yeye atawaza kuiba tu balaa akikosa ajira akarudi mtaani anakuwa mkabaji.
Wengine sisi illibidi tuwe wezi ila tupo tulivyo sasa kwa sababu ya ushirikiano wa walimu na wazazi wetu,mwalimu asishushwe thamani akienda wrong aitwe kisiri aonywe hizi tabia za matamko kuwakaripia walimu kama watoto wadogo zinawapa hao watoto fursa ya kuwadharau na kuwaona kumbe hawawafikii hata baba zao kwa sababu hawajawahi kuwaona wakikaripiwa yet hawajui baba zao hawawezi kuwapa wanachopewa na waalimu wao.
Ilibidi lihojiwe kwanza kosa gani alitenda hadi kupelekea kulazwa njaa kisha kama lina mantiki ahojiwe huyo mtoto kwanini asiitumikie adhabu yake ya kwanza akaenda kutenda kosa lingine la wizi?inaanza hivi hivi kesho ametetewa anamaliza form six anaingia chuo anaendeleza tabia za wizi kwa vitu vya wanachuo wenzake kesho anamaliza anapata ajira yeye atawaza kuiba tu balaa akikosa ajira akarudi mtaani anakuwa mkabaji.
Wengine sisi illibidi tuwe wezi ila tupo tulivyo sasa kwa sababu ya ushirikiano wa walimu na wazazi wetu,mwalimu asishushwe thamani akienda wrong aitwe kisiri aonywe hizi tabia za matamko kuwakaripia walimu kama watoto wadogo zinawapa hao watoto fursa ya kuwadharau na kuwaona kumbe hawawafikii hata baba zao kwa sababu hawajawahi kuwaona wakikaripiwa yet hawajui baba zao hawawezi kuwapa wanachopewa na waalimu wao.