johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
VishikwambiDuuuuuuh maandazi manne ndio yana watoa utu kiasi hicho? Au kuna mengine nyuma ya pazia?
Idiot ni mama yako aliyekuzaa na kukunyonyeshaHalafu hapo anaona kachangia hoja nzuri [emoji848] ideot kabisa.
Wewe ni mwalimu katili pia? Maadiligani kwa hayo maandazi?? Tia ndani hao walimu na wasiruhusiwe kufundisha shule yoyote in TANZANIA kenge hao.Maadili jamani maadili, angekuwa mtaani Wananchi wenye hasira kali wangemmaliza
Ni mwizi kweli.kama mwizi
Mwizi lazima anyoshwe. Amevunja kabisa duka. Hawa ndio wakikua wanakuwa majambazi.Kuna haja ya mmoja ya walimu design ya hawa kuonyeshwa mfano na wazazi. Akamatwe na apigwe makonde ya haja. Nahisi hapo watapata msg kuwa mtoto wa mtu hapigwi kizembe.
Hakuna kesi hapo, chuki yako ni kubwa sanaWewe ni mwalimu katili pia? Maadiligani kwa hayo maandazi?? Tia ndani hao walimu na wasiruhusiwe kufundisha shule yoyote in TANZANIA kenge hao.
Bora hivyo kuliko kudeal na watoto watukutu,wananifurahisha sana walimu wa mkoa wa Dar.Kuna mwalimu mmoja hapa anawaambia watoto waende kula Bata bichi. Yaani ticha anahubiri Bata,anaenda na mkoba wake darasani umekaa vipodozi na anawapa watoto wambebee Mana unakuwa mzito mno. Mara anadai siku hizi matak00 yanaitwa wowowwooo ,kweli jamani hizi ndio taaluma za mwalimu.
Hongera.Idiot ni mama yako aliyekuzaa na kukunyonyesha
Huyu dogo Ni jambazi ajae,Soma vizuri hapo juu, dogo aliiba na akachezea bakora ,baada ya kufungiwa room dogo ndio akavunja dirisha na hapo ndipo alipopata hayo majeraha ya mguu na usoni.
Sasa ndio ujue huyo ni mwanafunzi wa aina gani
Sahii kabisa,Mleta mada bana
Naona unajaribu kukuza tukio ili walimu waonekane ndio tatizo...
Kweli aisee,Bora hivo kuliko kudeal na watoto watukutu,wananifurahisha sana walimu wa mkoa wa dar. Wameachana na habari za kusumbuana na watoto wa watu,wao wanafundisha tu basi,kuhusu nidhamu watajuana na wazazi wao na dunia. Matokeo yakija hovyo ni mzazi ndio atahangaika na mwanae kwa aman kabisa
Soma habar nzima mkuu,Kuna kitu hakiko sawa kwa hawa walimu wa miaka hii,maana naona hizi kesi za wanafunzi kupigwa mpaka kupitiliza zimezidi sana...
Hayo maandazi manne unayaona machache lakini ingekuwa kayaiba uraiani wenda yangesababisha kifo chake.Sasa hao ndio magaidi huwa mnahangaika tu
Mandazi 4 mnataka kumtoa roho mtoto
Yaani adhabu zifutwe tu mashuleni maana hao sio waalimu siku hizi bali ni vibaka na majambazi na wazinzi
Enzi zetu unachapwa a mtu mzima kama baba na anakuchapa kwa kukufundisha ila sio hawa magaidi
PM futa ushenzi huu au tutaua bure
Na hapo ashukuru mungu tu ameyaiba kwenye duka la shule angekuwa kayaiba uraiani sasa hivi wazazi wangekuwa wana andaa ratiba ya mazishi.Duuuuuuh maandazi manne ndio yana watoa utu kiasi hicho? Au kuna mengine nyuma ya pazia?
Hizo ndio hospital za government wanaharaka kinoma noma, wakute kwenye stitching ndio utajua kuna changamoto kwenye huduma hasa governmentHivi hospital za Tanzania hawawezi kufunga majeraha vizuri kwa upendo? Ona hilo li gozi sijui pamba hapo kichwani... it's terrible