Mbeya: Mwanafunzi amtia Mimba Mwanafunzi mwenzake

Mbeya: Mwanafunzi amtia Mimba Mwanafunzi mwenzake

Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa Kijiji Cha Kilambo ambaye ni Mwanafunzi wa kidato Cha nne katika shule ya Sekondari Ikimba Wilayani Kyela amehukumiwa kifungo Cha nje Cha miezi 12 pamoja na faini ya kiasi Cha shilingi laki mbili Kwa kosa la kubaka na kumpa Mimba Mwanafunzi mwenzake.

Jukumu hiyo imetolewa katika mahakama ya wilaya Kyela na Mhe.Hakimu Paul Barnabas .

Hukumu hiyo ni Kwa mujibu wa kifungu Cha 130 kifungu kidogo Cha kwanza na Cha pili (e) na kifungu Cha 131 kifungu kidogo Cha pili (a) vyote vya Sheria ya kanuni ya Adhabu pamoja na kifungu 60 A kifungu kidogo Cha tatu Cha Sheria ya elimu.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo Julia 15 2024 baada ya kumlaghai Mwanafunzi mwenzie kuwa atamuoa baada ya kumaliza masomo yake.
Okay,

Ila Sheria inapaswa kubadilishwa ili Kama Mtuhumiwa wa ubakaji wa jinsia ya kiume anapotiwa hatiani, na mwanamke mhusika naye pia atiwe hatiani na kisha huyo mwanamke naye ahukumiwe angalau Nusu ya adhabu ambayo Mwanaume anahukumiwa nayo.
Mathalani, kama Mwanaume anahukumiwa kifungo cha jela miaka thelathini (30) Basi na Mwanamke naye ahukumiwe Nusu ya kifungo hicho, yaani apewe kifungo cha miaka kumi na Tano (15) gerezani. Hii itasaidia kutoa fundisho kwa wote kabisa
 
Mbona adhabu hiyo ni kubwa sana, wote ni under 18!! au neno kubaka limekuchanganya? kufanya mapenzi na binti yeyote wa chini ya 18 ni kubaka, haina maana alitumia nguvu ndio maana wamefafanua alimlaghai kwa kumwambia atamuoa baada ya masomo.

Wototo zaidi ya asilimia 50 mashuleni huko wanafanya mapenzi, mtawafunga wangapi [emoji23][emoji23]
Alafu yeye mwenyewe hapo unaweza kuta ni uzao wa mimba za shuleni!!
 
Mbona adhabu hiyo ni kubwa sana, wote ni under 18!! au neno kubaka limekuchanganya? kufanya mapenzi na binti yeyote wa chini ya 18 ni kubaka, haina maana alitumia nguvu ndio maana wamefafanua alimlaghai kwa kumwambia atamuoa baada ya masomo.

Wototo zaidi ya asilimia 50 mashuleni huko wanafanya mapenzi, mtawafunga wangapi 😂😂
Dah Mungu awanusuru watoto wetu.
 
Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa Kijiji Cha Kilambo ambaye ni Mwanafunzi wa kidato Cha nne katika shule ya Sekondari Ikimba Wilayani Kyela amehukumiwa kifungo Cha nje Cha miezi 12 pamoja na faini ya kiasi Cha shilingi laki mbili Kwa kosa la kubaka na kumpa Mimba Mwanafunzi mwenzake.

Jukumu hiyo imetolewa katika mahakama ya wilaya Kyela na Mhe.Hakimu Paul Barnabas .

Hukumu hiyo ni Kwa mujibu wa kifungu Cha 130 kifungu kidogo Cha kwanza na Cha pili (e) na kifungu Cha 131 kifungu kidogo Cha pili (a) vyote vya Sheria ya kanuni ya Adhabu pamoja na kifungu 60 A kifungu kidogo Cha tatu Cha Sheria ya elimu.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo Julia 15 2024 baada ya kumlaghai Mwanafunzi mwenzie kuwa atamuoa baada ya kumaliza masomo yake.
Hilo limetokana na kufanya eksiperimenti ya baiolojia, ila kuhusu faini anayotakiwa alipe sijui ataipata wapi wakati yeye ni mwanafunzi hana ajira.
 
Okay,

Ila Sheria inapaswa kubadilishwa ili Kama Mtuhumiwa wa ubakaji wa jinsia ya kiume anapotiwa hatiani, na mwanamke mhusika naye pia atiwe hatiani na kisha huyo mwanamke naye ahukumiwe angalau Nusu ya adhabu ambayo Mwanaume anahukumiwa nayo.
Mathalani, kama Mwanaume anahukumiwa kifungo cha jela miaka thelathini (30) Basi na Mwanamke naye ahukumiwe Nusu ya kifungo hicho, yaani apewe kifungo cha miaka kumi na Tano (15) gerezani. Hii itasaidia kutoa fundisho kwa wote kabisa
Kwanini mwanamke ahukumiwe nusu ya kifungo cha Mwanaume?
Mwanamke na Mwanaume wote ni wakosaji, kwanini Mwanaume aonekane ni Mkosaji zaidi?
50/50 iko wapi?
Je, Mwanamke hawezi kumtongoza Mwanaume?
, Mwanamke akimtongoza Mwanaume, wawili hawa wakakutana kimwili, Je, mwanamke hawezi kupata Mimba?
Kwanini Mwanaume aonekane anahatia zaidi?
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Mbona adhabu hiyo ni kubwa sana, wote ni under 18!! au neno kubaka limekuchanganya? kufanya mapenzi na binti yeyote wa chini ya 18 ni kubaka, haina maana alitumia nguvu ndio maana wamefafanua alimlaghai kwa kumwambia atamuoa baada ya masomo.

Wototo zaidi ya asilimia 50 mashuleni huko wanafanya mapenzi, mtawafunga wangapi 😂😂
Kabisa
 
Okay,

Ila Sheria inapaswa kubadilishwa ili Kama Mtuhumiwa wa ubakaji wa jinsia ya kiume anapotiwa hatiani, na mwanamke mhusika naye pia atiwe hatiani na kisha huyo mwanamke naye ahukumiwe angalau Nusu ya adhabu ambayo Mwanaume anahukumiwa nayo.
Mathalani, kama Mwanaume anahukumiwa kifungo cha jela miaka thelathini (30) Basi na Mwanamke naye ahukumiwe Nusu ya kifungo hicho, yaani apewe kifungo cha miaka kumi na Tano (15) gerezani. Hii itasaidia kutoa fundisho kwa wote kabisa
Hakika
 
Alaf waislam wakioa watoto wenye umri chini ya miaka 18 waaambiwa wabakaji na wakat nature inatambua kua ameshakua mature mwanamke ,,watu tumefanyiwa brainwash na wazungu ety ukubwa sahihi unaanzia miaka 18 whats the f*k
Narejea tena hii dunia miaka 20 ijayo dunia imejaa watoto wa nje wasio na nafsi bali ni mashetani
 
Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa Kijiji Cha Kilambo ambaye ni Mwanafunzi wa kidato Cha nne katika shule ya Sekondari Ikimba Wilayani Kyela amehukumiwa kifungo Cha nje Cha miezi 12 pamoja na faini ya kiasi Cha shilingi laki mbili Kwa kosa la kubaka na kumpa Mimba Mwanafunzi mwenzake.

Jukumu hiyo imetolewa katika mahakama ya wilaya Kyela na Mhe.Hakimu Paul Barnabas .

Hukumu hiyo ni Kwa mujibu wa kifungu Cha 130 kifungu kidogo Cha kwanza na Cha pili (e) na kifungu Cha 131 kifungu kidogo Cha pili (a) vyote vya Sheria ya kanuni ya Adhabu pamoja na kifungu 60 A kifungu kidogo Cha tatu Cha Sheria ya elimu.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo Julia 15 2024 baada ya kumlaghai Mwanafunzi mwenzie kuwa atamuoa baada ya kumaliza masomo yake.
Iran ndiyo wanajadili mtoto aingie ndoani akiwa na miaka 9
 
Madenti wengi hua wanapeana mimba wao kwa wao.

Sometimes inatokea binti akihisi ana mimba na kuna njemba ya mtaani kama ilikua inamsumbua sumbua binti anajileta kirahisi unakula unapewa zigo la miaka 30 ulibebe...
Ndo maana huwa nasema wanawake ni mashetani
 
Mbona adhabu hiyo ni kubwa sana, wote ni under 18!! au neno kubaka limekuchanganya? kufanya mapenzi na binti yeyote wa chini ya 18 ni kubaka, haina maana alitumia nguvu ndio maana wamefafanua alimlaghai kwa kumwambia atamuoa baada ya masomo.

Wototo zaidi ya asilimia 50 mashuleni huko wanafanya mapenzi, mtawafunga wangapi 😂😂
Huyo wa kiume anafukuzwa shule?
 
Back
Top Bottom