Mila na desturi za alikopiga magoti ni kuwa ukienda kuomba jambo kubwa na zito unapiga magoti kuliomba
Hayapigwi ovyo hasa kwa wanaume lakini kama ilivyo Kilimanjaro MTU akija nyumbani kwako au popote akikuonyesha jani la Masare hata awe alikukosea vipi inabidi umsamehe ni kitu kizito sana.
Hivyo hayo maeneo kwa mila na desturi zao mwanaume akikupigia magoti kukuomba kitu lazima umpe.Kura iko chini ya uwezo wa mpiga kura
Magufuli huko alikopiga magoti kaeleweka sana subiri kishindo cha kura atakachopata. Atapata nyingi mno sababu kwa mila zao mtu akikuomba kura kwa staili ile unatakiwa umpe anachokuomba kama kiko ndani ya uwezo wako
Kilimanjaro mila ya kupiga magoti haipo ndio maana hakupiga magoti
Magufuli ana timu ya washauri wa hadi wa mila kule jambo zito huliombi ukiwa umesimama kibabe wima mkono mmoja mfukoni mwingine umeshika maiki