Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #261
Na haya majina kuanzia na "Mwa" chanzo chake hasa ni nin au labda km kuna maana unaweza nijuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na haya majina kuanzia na "Mwa" chanzo chake hasa ni nin au labda km kuna maana unaweza nijuza
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nashukuru Sana ndugu , nimeiona tayari.Sawa mkuu na nishakutumia tayari.
Hicho kicheko hujaipenda nini? 😀😀 umeprove kwamba sisi ni warembo au nitume zingine pia?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nashukuru Sana ndugu , nimeiona tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] nitashukuru Kama utaniongeza zingine , thank u in advance.Hicho kicheko hujaipenda nini? [emoji3][emoji3] umeprove kwamba sisi ni warembo au nitume zingine pia?
Soon natuma mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] nitashukuru Kama utaniongeza zingine , thank u in advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee na picha za Dada zako warembo wa mbeyaView attachment 1721980
The home for the intelligent people, talented, God fearing and humble down to earth
Matipisi kwa ArushaView attachment 1721988
Madyulisi
Huo ni mji au kijiji?Moja kati ya miji inayosifiwa sana kwa uzuri na watu wake wawapo nje ya mkoa huo, ila kiuhalisia ni moja kati ya miji mibovu sana
Nini sasa hii kama matako
Mmoja atupie toroli maarufu (ZZK) Zana Za kilimoMBEYA
Tuwekee picha za Dada zako wa mbeya
Mkuu umenikumbusha mbali, eneo hili la TAZARA ndo tulikuwa tunapigia picha kipindi nasoma Iyunga Boys Technical School.
Picha ya kwanza hiyo ni Isanga nini
Hivi hili shirika la zzk mbeya bado lipo?
lipo mkuuHivi hili shirika la zzk mbeya bado lipo?t